Sasa kati yangu na wewe wapi na wapi. Wewe ni cheap labor. Ndio maana sisi tunajimwaga maana ni raha. Nikikosa town naenda kulima maana ardhi ipo ya bwerere. Ninalima kisha nakula maisha yanasonga. Lakini wewe mwenzangu lazima uajiriwe uwe shamba boy wa wazungu la sivyo ulie lie uje TZ upate ahueni kidogo.
Tehehehee... Toa povu kabisa. Nataka utoe zote leo lazy bone