Kenya - Tanzania border closed over row on vehicle levy

Kama mna uhakika kuwa tukifunga mipaka hamtaumia kwanini mnalialia tunapowapandishia ushuru? Halafu nani kasema karasha ni mtanzania? au wee ndo unaongea kwa hisia! Lakini hata kama ni mtanzania bado watanzania ni fraction ndogo mno kulinganisha na wakenya wanaohangaika kuingia Tz, hivyo kwetu sie hiyo movement ya watu kati ya TZ na kenya haitulipi kama na nyie mlivyoona haiwalipi miaka ile ya 1977. Kwasasa flow ya waTZ kwenda nchi za SADC ni kubwa mno kulinganisha na nchi za EAC hasa kenya na hata hao wachache wanaoenda kenya wengi wao ni waganga wa kienyeji na wale wanafunzi waliofeli na kushindwa kuendelea kimasomo TZ hivyo wanatafuta pa kutokea ndo maana wengi huwakuti ktk public universities kama Nairobi, kenyatta, moi n.k bali unawakuta kwenye vyuo kama USIU ambako pesa ni kama tai. Kwa upande wa wafanya biashara ni wachache mno, jaribu kutafiti ktk malawi miji ya chitipa, karonga, mzuzu, lilongwe na blantyre halafu nenda ktk miji ya zambia; kuanzia nakonde mpaka Lusaka utaona jinsi kulivyo na watanzania wengi. ukifanya utafita utagundua ni kwanini TZ haiwezi kuiacha SADC na jinsi ilivyo rahisi kwa TZ kuidamp EAC. Halafu hoja yako ya kiswahili ni dhaifu sana, kwa maelezo yako unamaanisha Uganda tuko mbali nao kwasababu wanatumia zaidi kiingereza na hawajui kiswahili. Ukweli ni kuwa kenya iko mbali zaidi na TZ kiitikadi kuliko ilivyo kwa uganda na TZ japo kenya mnajitahidi kuongea kiswahili cha kuungaunga, na kuonesha kuwa lugha sio ishu ndo maana Zambia na Msumbiji ndo nchi zilizokaribu mno na TZ kiitikadi kuliko nchi yoyote ya EAC lakini Zambia kiingereza tupu na Msumbiji kireno tupu.
Mie kwa ushauri wangu kama tunataka kuwe EAC yenye nguvu na hatimaye shirikisho ni lazima kwanza tuanza kujenga mahusiano mazuri kati ya kenya na Tanzania halafu ndio baadae tuanze kufikiria kushirikiana kiuchumi. Lakini kwa jinsi historia kati ya TZ na kenya ilivyokwenda haiwezekani kabisa Tanzania ikaitrust kenya labda kama itatokea Tanzania ikashikwa na wafanyabiashara wanaotegemea sana soko la EAC.

Hapa unasema kuwa watu kama waganga na waliofeli mitihani ndio hupenya mipaka ya kenya. Ni hii dhana kuhusu watu wenu infanya mufeli katika majukumu yenu. Umenidhihirishia tatizo moja yenu. Hawa waliofeli mitihani wanaeza kutumika katika sekta za ujenzi na biashara. Lakini wakija mahali kama USIU inamaanisha wamepata kitu walishindwa kupata hapo. Pili, mumesalia SADCC kwa maana rahisi kwamba nchi za Afrika kusini zinangangana kujikwamua kutoka kwa mifumo duni za uongozi pamoja na kuwa chini kibiashara, vita vya wenyewe kwa wenyewe. Hivyo mnataka maisha rahisi, hampendi competition hapo ndipo ukweli ipo.
 
Kama mna uhakika kuwa tukifunga mipaka hamtaumia kwanini mnalialia tunapowapandishia ushuru? Halafu nani kasema karasha ni mtanzania? au wee ndo unaongea kwa hisia! Lakini hata kama ni mtanzania bado watanzania ni fraction ndogo mno kulinganisha na wakenya wanaohangaika kuingia Tz, hivyo kwetu sie hiyo movement ya watu kati ya TZ na kenya haitulipi kama na nyie mlivyoona haiwalipi miaka ile ya 1977. Kwasasa flow ya waTZ kwenda nchi za SADC ni kubwa mno kulinganisha na nchi za EAC hasa kenya na hata hao wachache wanaoenda kenya wengi wao ni waganga wa kienyeji na wale wanafunzi waliofeli na kushindwa kuendelea kimasomo TZ hivyo wanatafuta pa kutokea ndo maana wengi huwakuti ktk public universities kama Nairobi, kenyatta, moi n.k bali unawakuta kwenye vyuo kama USIU ambako pesa ni kama tai. Kwa upande wa wafanya biashara ni wachache mno, jaribu kutafiti ktk malawi miji ya chitipa, karonga, mzuzu, lilongwe na blantyre halafu nenda ktk miji ya zambia; kuanzia nakonde mpaka Lusaka utaona jinsi kulivyo na watanzania wengi. ukifanya utafita utagundua ni kwanini TZ haiwezi kuiacha SADC na jinsi ilivyo rahisi kwa TZ kuidamp EAC. Halafu hoja yako ya kiswahili ni dhaifu sana, kwa maelezo yako unamaanisha Uganda tuko mbali nao kwasababu wanatumia zaidi kiingereza na hawajui kiswahili. Ukweli ni kuwa kenya iko mbali zaidi na TZ kiitikadi kuliko ilivyo kwa uganda na TZ japo kenya mnajitahidi kuongea kiswahili cha kuungaunga, na kuonesha kuwa lugha sio ishu ndo maana Zambia na Msumbiji ndo nchi zilizokaribu mno na TZ kiitikadi kuliko nchi yoyote ya EAC lakini Zambia kiingereza tupu na Msumbiji kireno tupu.
Mie kwa ushauri wangu kama tunataka kuwe EAC yenye nguvu na hatimaye shirikisho ni lazima kwanza tuanza kujenga mahusiano mazuri kati ya kenya na Tanzania halafu ndio baadae tuanze kufikiria kushirikiana kiuchumi. Lakini kwa jinsi historia kati ya TZ na kenya ilivyokwenda haiwezekani kabisa Tanzania ikaitrust kenya labda kama itatokea Tanzania ikashikwa na wafanyabiashara wanaotegemea sana soko la EAC.

Tatizo la wakenya wanataka kila wanapoenda waonekane wako juu wakat sio, zaid wanaambulia kunyanyaswa na kutukanwa kila kukicha sio tz tu, hata mozantique ninaowafaham washapoteza mvuta, kuna mmoja namfaham anapak unga. Sasa kuna watu walikuwa wanamletea mahind, kwa sasa hivi hapat kidogo zaid wanapelekewa wengine ambao hawakua hata na jina zaid kakimbia biashara. Mie ningewashauri hawa waache kujiona superior wakat n makoko tu. Itakuja fikia kipindi hawatembea kokote africa. Ooh wiki moja tutawapiga alshabab mko wapi?
 
you cant be serious sir, are you new here or something? you talking about dirt and people smelling? Dint you see the post where Kenyans were complaining about the influx of Tanzanian beggars in their cities to places far as Eldoret? Don't you know of Gikomba where Tanzanians sell their cheap second hand stuff, I think Kenyans have been very tolerant to all this sh*t, and its getting out of hand.. Kenyans are exporting experts, people who are highly paid to provide services that you fruits cant, despite of all what you say, Kenyans are always welcomed in Tanzanian companies and industries.
Please don't confuse between dirt and people smelling on one hand and beggars and sellers of cheap second hand stuffs. The man said kenyans are dirt and smelling, now I don't catch your point because if there are Tanzanian beggars in kenya and there are Tanzanians who sell cheap second hand stuffs, this does not justfy the dirtness and stinking bodies of the kenyans. Tanzanian beggars might not be dirt and stinking.
 
Tatizo la wakenya wanataka kila wanapoenda waonekane wako juu wakat sio, zaid wanaambulia kunyanyaswa na kutukanwa kila kukicha sio tz tu, hata mozantique ninaowafaham washapoteza mvuta, kuna mmoja namfaham anapak unga. Sasa kuna watu walikuwa wanamletea mahind, kwa sasa hivi hapat kidogo zaid wanapelekewa wengine ambao hawakua hata na jina zaid kakimbia biashara. Mie ningewashauri hawa waache kujiona superior wakat n makoko tu. Itakuja fikia kipindi hawatembea kokote africa. Ooh wiki moja tutawapiga alshabab mko wapi?

Vita sio jambo la kurukia kama hauna intelligence ya kutosha kendelea la sivyo utaingia motoni. Alshabaab ni historia sasa hakuna alshabaab maana wamemezwa na alqaeda
 
Tuache USHABIKI bandugu.

Sisi Watanzania na Wakenya hata nashindwa kuelewa, kwa nini siyo nchi mmoja.

Ukitaka kujua watu wanapendana, angalia wakikosana maana zitapigwa ngumi kwelikweli.

Maneno haya angelisema mtu wa Uganda au Rwanda, wala tusingelijali sana. Ila akisema Mzenji au Mkenya, mzozo unakuwa mkali sana. Na hiyo ndiyo alama ya huo uhusiano uliopo kati ya Tanzania na Kenya.

Mpaka unaweza kufungwa kweli ila mtu asikudanganye eti sisi hatutaumia. Nina uhakika kuwa kuna Watanzania kadhaa wataumia. Hata kama ni watano, bado ni Watanzania. Wakenya pia nao wataumia sana tu maana watabaki na Al-Shabab kama jirani na kila mtu anajua kuwa Somalia hziendi bidhaa ila Wanajeshi, silaha na misaada kwa wanaokufa kwa njaa.

Hili swala inabidi kulijadili na kuangalia jinsi ya kugawana KEKI iliyopo mpakani na watalii wanaodanganywa kuwa wanakuja Kenya ila wakifika hapo, wanapandishwa kwenye magari na kuletwa Tanzania. Ni maswala rahisi sana na tunaweza kuyajadili kirahisi na kufikia muafaka na hiyo KEKI tukafaidi wote.

Wakenya lazima watuelewe kuwa Vasco Da Gama wetu inabidi awe na hela za kutosha kwenda kutembea :(
 
Hapa unasema kuwa watu kama waganga na waliofeli mitihani ndio hupenya mipaka ya kenya. Ni hii dhana kuhusu watu wenu infanya mufeli katika majukumu yenu. Umenidhihirishia tatizo moja yenu. Hawa waliofeli mitihani wanaeza kutumika katika sekta za ujenzi na biashara. Lakini wakija mahali kama USIU inamaanisha wamepata kitu walishindwa kupata hapo. Pili, mumesalia SADCC kwa maana rahisi kwamba nchi za Afrika kusini zinangangana kujikwamua kutoka kwa mifumo duni za uongozi pamoja na kuwa chini kibiashara, vita vya wenyewe kwa wenyewe. Hivyo mnataka maisha rahisi, hampendi competition hapo ndipo ukweli ipo.
Mzalendo jaribu kuelewa kiswahili, nimesema walio wengi ni waganga wa kienyeji na wanafunzi waliofeli, huo ndo ukweli lakini kuna watanzania wachache wanafanya biashara kenya hilo najua maana Nimewahi kwenda kenya mara kadhaa. Tukilinganisha kenya na nchi moja moja za SADC basi ni sawa na kuwa wafanyabiashara wa kitanzania hamna kabisa kenya. Pili msijidanganye kuwa nchi za SADC ziko chini kibiashara maana hata SA ambayo anaburuza Africa nzima ameona umuhimu wa kubaki SADC na kutothubutu kuingia COMESA. Nikuambie kitu kingine nyie mnaikwepa Somalia ina maana mnaogopa competition? Na sie tunawakwepa nyie halafu tunang'ang'ania SADC unadhani tunaogopa competition? kama tungekuwa tunaogopa si tungejitoa hata huko SADC? Nyie mnakwepa Somalia na Ethiopia wala hamthubutu kuongelea kuhusu kuimarisha competition ndani ya IGAD mnakomaa na EAC tu maana mnajua IGAD ni mzigo, na sie tunakomaa na SADC maana tunajua EAC ni mzigo kwetu.
 
wakenya hatuwataki tz!tutakachokosa ni products za uniliver basi!nyie mtakosa mbao,karafuu,minerals,mt kmanjaro,potatoe
 
Tuache USHABIKI bandugu.

Sisi Watanzania na Wakenya hata nashindwa kuelewa, kwa nini siyo nchi mmoja.

Ukitaka kujua watu wanapendana, angalia wakikosana maana zitapigwa ngumi kwelikweli.

Maneno haya angelisema mtu wa Uganda au Rwanda, wala tusingelijali sana. Ila akisema Mzenji au Mkenya, mzozo unakuwa mkali sana. Na hiyo ndiyo alama ya huo uhusiano uliopo kati ya Tanzania na Kenya.

Mpaka unaweza kufungwa kweli ila mtu asikudanganye eti sisi hatutaumia. Nina uhakika kuwa kuna Watanzania kadhaa wataumia. Hata kama ni watano, bado ni Watanzania. Wakenya pia nao wataumia sana tu maana watabaki na Al-Shabab kama jirani na kila mtu anajua kuwa Somalia hziendi bidhaa ila Wanajeshi, silaha na misaada kwa wanaokufa kwa njaa.

Hili swala inabidi kulijadili na kuangalia jinsi ya kugawana KEKI iliyopo mpakani na watalii wanaodanganywa kuwa wanakuja Kenya ila wakifika hapo, wanapandishwa kwenye magari na kuletwa Tanzania. Ni maswala rahisi sana na tunaweza kuyajadili kirahisi na kufikia muafaka na hiyo KEKI tukafaidi wote.

Wakenya lazima watuelewe kuwa Vasco Da Gama wetu inabidi awe na hela za kutosha kwenda kutembea :(
Wewe umechanganyikiwa nini? usichanganye malumbano kati ya wazenji na watanganyika na yale kati ya watanzania na wakenya. Malumbano ya wabara na wazenji ni chumbani wakati yale ya waTz na wakenya ni ya hadharani. Tatizo ni kuwa uchumi wa kenya ndio mkubwa ktk EAC na wa Tanzania ndio wa pili lakini ukiangalia sana utagundua kuwa kuna sababu mbili zinazosababisha mgangano kati ya kenya na Tanzania: kwanza kenya inataka kudictate kanuni za uchumi wa EAC na wanachama wengine ukiondoa Tanzania wanakubali kupelekwa, lakini Tanzania inakataa kuendeshwa na kenya kwasababu Tanzania inajua ilipoteleza kwahiyo tunajua mambo yakiendelea hivi hivi tutakuja kuwafunika hivyo tumekuwa makini kuhakikisha tunafanya kitu kitakachotufaidisha sie na sio kufanya maamuzi ya hovyo kama yale ya iliyokuwa EAC (1967 - 1977)
Pili base ya uchumi wa kenya iko zaidi ktk nchi za EAC wakati base ya uchumi wa Tanzania iko SADC, sasa kenya wanalazimisha tupeleke nguvu zote kuijenga EAC bila kujali kama sie SADC ni muhimu pia.
Halafu kwa kukuonya tu acha kuwatrust wakenya kuwa ni ndugu utalipoteza taifa lako, kama wewe unadhani wakenya ni ndugu zako wao hawafikirii hivyo wao wanachoangalia ni jinsi gani wataitumia Tanzania kama ngazi ya kupandishia uchumi wao maana wameshagundua kuwa wao hawawezi kuendelea kushindana hivihivi na Tanzania halafu wakashinda, wamejua kuwa wao wana matatizo zaidi.
 
Tatizo la wakenya wanataka kila wanapoenda waonekane wako juu wakat sio, zaid wanaambulia kunyanyaswa na kutukanwa kila kukicha sio tz tu, hata mozantique ninaowafaham washapoteza mvuta, kuna mmoja namfaham anapak unga. Sasa kuna watu walikuwa wanamletea mahind, kwa sasa hivi hapat kidogo zaid wanapelekewa wengine ambao hawakua hata na jina zaid kakimbia biashara. Mie ningewashauri hawa waache kujiona superior wakat n makoko tu. Itakuja fikia kipindi hawatembea kokote africa. Ooh wiki moja tutawapiga alshabab mko wapi?

where are your i's? why cant you finish your words?
 
E bwana ee, naona mnapoteza muda bure na hao majamaa! Ukienda Kenya hamna mkenya! Kule kuna Mkikuyu, Jaluo, Mkamba, Luhya, kalenjin etc..
Huyu anayejifanya mkenya sana hapa anapoteza muda bure, bora angeenda kunoa panga lake maana vita inakuja tena this year 2012 au wamepeleka mwakani 2013? Nani anataka kuungana na watu ambao si wamoja?
 
Umeandika vizuri ila kwanini kuanza na lugha za OVYO kama jitu lisiloelewa kitu? Kwani usingeliandika neno UMECHANGANYIKIWA unafikiri nisingelikuelewa? Nikikungalia kwenye picha naona mtu mstaarabu hadi nashangaa mtu kama wewe kutumia lugha ya ajabu. Anyway, ngoja nichukulie kuwa umeteleza.

Ni mtu anayeangalia miaka mitano tu mbele yake ndiyo anakuwa na mawazo kama hayo. Na ili kukuonyesha, ntakuja ni mifano mitatu na hapo utaelewa mie nina maana gani katika hilo:

1. Baada ya vita ya pili ya dunia, USA ilikuwa na hali nzuri sana kiuchumi na nchi nyingi za Ulaya zilikuwa zimechoka hadi zinatia huruma. Ndipo sasa USA akaanza kuzikopesha pesa nyingi sana nchi hizi ili zijijenge kiuchumi huku akijua kuwa kuna siku watasimama na kuja kuanza kumlipa. Ndiyo maana na ubabe wote wa nchi za Ulaya, utashangaa kuwa wanamsikiliza sana USA hadi leo. Kama USA wangelikuwa wanaangalia mita kadhaa mbele, wangelisema kwa nini kuwasaidia nchi zilizoharibika kiuchumi kama za Ulaya? Ni kupoteza muda na pesa.

2. Nchi kama German ndani ya Europenian Union, ni kubwa sana kiuchumi lakini ndiyo wamekuwa waasisi wa kuleta Europen Union na kuipanua. Nani angelitegemea kuwa German itataka kuungana na nchi kama Czech, Slovakia, Poland, Romania, Bulgaria etc wakati kiuchumi, mji wa Frankfurt pekee ambao ndiyo miji tajiri kuliko zote Ulaya, unazizidi kuchumi nchi hizo. Ila wenzetu wanaangalia zaidi ya mita tano.

3. Kenya miaka ya 70 na hasa baada ya Tanzania kupigana na Nduli Amin, walikuwa juu kiuchumi. Ila kwa kuwasikiliza watu kama Chalres Njonjo (Naweza kumfahanisha na wewe) kuwa Tanzania na Uganda ni nchi masikini na hakuna haja ya kushirikina nao, wakaivunjilia mbali East Africa Community. Miaka hiyo, hakuna aliyetegemea kuwa Tanzania itakuja kuwa sehemu hapa ilipo. Sasa hivi Wakenya wanaota kuja Tanzania na wakifika, wanakuwa kama sisi enzi ilee tukifika Nairobi.

Tanzania kama RAIA ni kweli tunafaidika na SADC ila kama nchi, huko tunakuwa Samaki mdogo kwenye bwawa kubwa. Hivi sisi tunauza nini nchini South Africa? Au ni SA ndiyo wanakuja kutumwagia bidhaa zao zilizoisha muda wake ili tufe kwa kansa?

Kama Tanzania tunakwenda juu, basi tupande hadi tuwe namba moja kwenye EAC na hapo sasa, tuipanue zaidi EAC na sisi tuanze kuwa Dictate hao mataifa mengine maana tumeshakuwa Wakubwa. Watanzania wapewe mikopo kama China na kufungua biashara zao kubwakubwa huko Kenya, Uganda nk na faida inarudishwa Tanzania.

Wasiwasi wangu ni kuwa, kesho Kenya inaweza kupanda tena kwa sababu tu wamevumbua mafuta na tukajikuta tumejiharibia wenyewe kama ambavyo wao walijiharibia enzi hizo.

Watalawala na wasomi hasa Wachumi na Wanasheria, wakae na kujadili Mabaya na Mazuri kwa kila upande na baada ya hapo, tuangalie tutabalance vipi ili wote tufaidike.
Ila pana wakati inakuwa kichekesho kwa Watanzania. Tunajifanya tunajua sana kubana miguu kwa Wakenya ila wakija WAZUNGU, Yes Wazungu kutoka Canada, USA nk basi tunawapa madini yetu kwa bei Chee. Wakija Makaburu, tunawakaribisha hadi CHUMBANI na kuwaonyesha hadi Chupi zetu. Ila leo watu tunasema Wakenya NO sijui kwa sababu ni WEUSI sana na Kingozi cheupe tunakuwa tumerogwa kama Wanyamwezi/wasukuma na kingozi cheupe kwani tutalipa ming'ombe yotee kisa tu kangozi keupe.

Ndiyo maana nasema, ni maswala yanayoongeleka. Tukae mezani tuyajadili bila matusi wala dharau kwa mwengine. Hii kuwaona Wakenya wapo chini, kesho unaweza kusikia ndiyo wapo juu na wewe umeshuka na SADC hutakiwi kama ambavyo tunasikia SA Watanzania wanauwawa pamoja na Wageni wengine.

Tuwe na plan za miaka 100 mbele na si miaka 10 mbele.

Wewe umechanganyikiwa nini? usichanganye malumbano kati ya wazenji na watanganyika na yale kati ya watanzania na wakenya. Malumbano ya wabara na wazenji ni chumbani wakati yale ya waTz na wakenya ni ya hadharani. Tatizo ni kuwa uchumi wa kenya ndio mkubwa ktk EAC na wa Tanzania ndio wa pili lakini ukiangalia sana utagundua kuwa kuna sababu mbili zinazosababisha mgangano kati ya kenya na Tanzania: kwanza kenya inataka kudictate kanuni za uchumi wa EAC na wanachama wengine ukiondoa Tanzania wanakubali kupelekwa, lakini Tanzania inakataa kuendeshwa na kenya kwasababu Tanzania inajua ilipoteleza kwahiyo tunajua mambo yakiendelea hivi hivi tutakuja kuwafunika hivyo tumekuwa makini kuhakikisha tunafanya kitu kitakachotufaidisha sie na sio kufanya maamuzi ya hovyo kama yale ya iliyokuwa EAC (1967 - 1977)
Pili base ya uchumi wa kenya iko zaidi ktk nchi za EAC wakati base ya uchumi wa Tanzania iko SADC, sasa kenya wanalazimisha tupeleke nguvu zote kuijenga EAC bila kujali kama sie SADC ni muhimu pia.
Halafu kwa kukuonya tu acha kuwatrust wakenya kuwa ni ndugu utalipoteza taifa lako, kama wewe unadhani wakenya ni ndugu zako wao hawafikirii hivyo wao wanachoangalia ni jinsi gani wataitumia Tanzania kama ngazi ya kupandishia uchumi wao maana wameshagundua kuwa wao hawawezi kuendelea kushindana hivihivi na Tanzania halafu wakashinda, wamejua kuwa wao wana matatizo zaidi.
 
wakenya hatuwataki tz!tutakachokosa ni products za uniliver basi!nyie mtakosa mbao,karafuu,minerals,mt kmanjaro,potatoe
unilevel isn't a Kenyan company and for ur info. they have manufacturing units in Tanzania so we will loose nothing from them
 
..this is the problem,sasa kwa mtu anayefikiria this shallow wakati issue ni serious na zina consequense kwenye Economy well being za watu wa nchi zote mbili,wabongo wengi hawana idea ile Northern Tanzania kuanzia Kilimanjaro,Arusha imeendelea kwa sababu ya uhusiano mzuri na kuwa karibu na Kenya,kuna business kubwa sana btn this border na sio wakenya peke yao wanavuna ni give and take,wengi wanaopiga kelele hawajui wanaongea nini na mbaya zaidi unaweza kukuta ni hao wanasiasa njaa wa kibongo,anyway fungeni border na ****** wenu wa kunyanyasa wageni muone kitakachotokea,mmesahau sio miaka mingi imepita mlikuwa mnapitia kenya kwa sababu ya ubovu wa barabara zenu na mmesahau part kubwa ya Northern Tanzania Economy ina uhusiano mkubwa sana na Kenya...kama mnataka kujitia umasikini endeleni kufanya mnachofanya.
 
Umeandika vizuri ila kwanini kuanza na lugha za OVYO kama jitu lisiloelewa kitu? Kwani usingeliandika neno UMECHANGANYIKIWA unafikiri nisingelikuelewa? Nikikungalia kwenye picha naona mtu mstaarabu hadi nashangaa mtu kama wewe kutumia lugha ya ajabu. Anyway, ngoja nichukulie kuwa umeteleza.

Ni mtu anayeangalia miaka mitano tu mbele yake ndiyo anakuwa na mawazo kama hayo. Na ili kukuonyesha, ntakuja ni mifano mitatu na hapo utaelewa mie nina maana gani katika hilo:

1. Baada ya vita ya pili ya dunia, USA ilikuwa na hali nzuri sana kiuchumi na nchi nyingi za Ulaya zilikuwa zimechoka hadi zinatia huruma. Ndipo sasa USA akaanza kuzikopesha pesa nyingi sana nchi hizi ili zijijenge kiuchumi huku akijua kuwa kuna siku watasimama na kuja kuanza kumlipa. Ndiyo maana na ubabe wote wa nchi za Ulaya, utashangaa kuwa wanamsikiliza sana USA hadi leo. Kama USA wangelikuwa wanaangalia mita kadhaa mbele, wangelisema kwa nini kuwasaidia nchi zilizoharibika kiuchumi kama za Ulaya? Ni kupoteza muda na pesa.

2. Nchi kama German ndani ya Europenian Union, ni kubwa sana kiuchumi lakini ndiyo wamekuwa waasisi wa kuleta Europen Union na kuipanua. Nani angelitegemea kuwa German itataka kuungana na nchi kama Czech, Slovakia, Poland, Romania, Bulgaria etc wakati kiuchumi, mji wa Frankfurt pekee ambao ndiyo miji tajiri kuliko zote Ulaya, unazizidi kuchumi nchi hizo. Ila wenzetu wanaangalia zaidi ya mita tano.

3. Kenya miaka ya 70 na hasa baada ya Tanzania kupigana na Nduli Amin, walikuwa juu kiuchumi. Ila kwa kuwasikiliza watu kama Chalres Njonjo (Naweza kumfahanisha na wewe) kuwa Tanzania na Uganda ni nchi masikini na hakuna haja ya kushirikina nao, wakaivunjilia mbali East Africa Community. Miaka hiyo, hakuna aliyetegemea kuwa Tanzania itakuja kuwa sehemu hapa ilipo. Sasa hivi Wakenya wanaota kuja Tanzania na wakifika, wanakuwa kama sisi enzi ilee tukifika Nairobi.

Tanzania kama RAIA ni kweli tunafaidika na SADC ila kama nchi, huko tunakuwa Samaki mdogo kwenye bwawa kubwa. Hivi sisi tunauza nini nchini South Africa? Au ni SA ndiyo wanakuja kutumwagia bidhaa zao zilizoisha muda wake ili tufe kwa kansa?

Kama Tanzania tunakwenda juu, basi tupande hadi tuwe namba moja kwenye EAC na hapo sasa, tuipanue zaidi EAC na sisi tuanze kuwa Dictate hao mataifa mengine maana tumeshakuwa Wakubwa. Watanzania wapewe mikopo kama China na kufungua biashara zao kubwakubwa huko Kenya, Uganda nk na faida inarudishwa Tanzania.

Wasiwasi wangu ni kuwa, kesho Kenya inaweza kupanda tena kwa sababu tu wamevumbua mafuta na tukajikuta tumejiharibia wenyewe kama ambavyo wao walijiharibia enzi hizo.

Watalawala na wasomi hasa Wachumi na Wanasheria, wakae na kujadili Mabaya na Mazuri kwa kila upande na baada ya hapo, tuangalie tutabalance vipi ili wote tufaidike.
Ila pana wakati inakuwa kichekesho kwa Watanzania. Tunajifanya tunajua sana kubana miguu kwa Wakenya ila wakija WAZUNGU, Yes Wazungu kutoka Canada, USA nk basi tunawapa madini yetu kwa bei Chee. Wakija Makaburu, tunawakaribisha hadi CHUMBANI na kuwaonyesha hadi Chupi zetu. Ila leo watu tunasema Wakenya NO sijui kwa sababu ni WEUSI sana na Kingozi cheupe tunakuwa tumerogwa kama Wanyamwezi/wasukuma na kingozi cheupe kwani tutalipa ming'ombe yotee kisa tu kangozi keupe.

Ndiyo maana nasema, ni maswala yanayoongeleka. Tukae mezani tuyajadili bila matusi wala dharau kwa mwengine. Hii kuwaona Wakenya wapo chini, kesho unaweza kusikia ndiyo wapo juu na wewe umeshuka na SADC hutakiwi kama ambavyo tunasikia SA Watanzania wanauwawa pamoja na Wageni wengine.

Tuwe na plan za miaka 100 mbele na si miaka 10 mbele.
If your postulation is accurate, please join us on this thread and share with us TZ https://www.jamiiforums.com/jamii-photos/225589-kenyan-and-tanzanian-surburbs.html
 
..this is the problem,sasa kwa mtu anayefikiria this shallow wakati issue ni serious na zina consequense kwenye Economy well being za watu wa nchi zote mbili,wabongo wengi hawana idea ile Northern Tanzania kuanzia Kilimanjaro,Arusha imeendelea kwa sababu ya uhusiano mzuri na kuwa karibu na Kenya,kuna business kubwa sana btn this border na sio wakenya peke yao wanavuna ni give and take,wengi wanaopiga kelele hawajui wanaongea nini na mbaya zaidi unaweza kukuta ni hao wanasiasa njaa wa kibongo,anyway fungeni border na ****** wenu wa kunyanyasa wageni muone kitakachotokea,mmesahau sio miaka mingi imepita mlikuwa mnapitia kenya kwa sababu ya ubovu wa barabara zenu na mmesahau part kubwa ya Northern Tanzania Economy ina uhusiano mkubwa sana na Kenya...kama mnataka kujitia umasikini endeleni kufanya mnachofanya.
mume bwege.jpg
solve this problem kwanza ndio uwe na guts za kuongea haya.
 
Mimi nadhani vitu vinavyounganisha nchi hizi mbili ni vingi kuliko vinavyotugawa, lakini ni muhimu kwa pande zote mbili kuheshimiana na kipindi kingine kukubali kutokukubaliana. Ni dhahiri ya kuwa suala la ardhi bado limeacha taste mbaya katika EAC, kwani nchi kama Kenya walitegemea ardhi ya Tanzania katika kutatua matatizo yao. Pia Watanzania bado wako skeptical sana na Wakenya wakikumbuka yalitokea huko nyuma. Those are serious issues that ought to be addressed, if we are serious about building a viable economic hub otherwise EAC will continue to be a nightmare.
 
Swala la vitambulisho kuondolewa EA zimezungumziwa sana katika mikutano za EAC, lakini ni tz haitaki kuondoa swala la vipande kutoka kwa their backyard, hawataki watu kutoka nje wazuru nchi hiyo bila vikwazo. kwangu naona ni jambo la kusikitisha.

Kwani kama kwenu kuzuri unatafuta nini Tanzania? Baki kwenu
 
Back
Top Bottom