Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,182
- 24,683
Sina mapenzi na hiyo CCM, lakini sidhani kama lengo letu la msingi ni kuitoa CCM madarakani,
Lengo letu ni kupata viongozi bora, regardless vyama wanavyotoka.
Mkuu
CCM ni machinery,anaingia mtu msafi ila anageuzwa dudu la ajabu!
CCM is an enemy number 1......
Watu mpaka wanakataa kukujengea katiba yako just because wanaona kuna vitu vitawanyima kutawala kwa impunity!
Usinidanganye kabisa....CCM ni dude moja la ajabu sana na lina-breed big and small devilz everyday!