idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,298
- 38,440
Raisi Uhuru Kenyata amefunga shule zote nchini humo kutokana na tishio la virusi vya Corona.
Raisi amegiza kesho wanafunzi wa shule za msingi wasiende shuleni,. Wanafunzi wa shule za Sekondari mwisho jumatano na vyuo vikuu mwisho ijumaa wote wawe majumbani mwao.
Raisi amegiza kesho wanafunzi wa shule za msingi wasiende shuleni,. Wanafunzi wa shule za Sekondari mwisho jumatano na vyuo vikuu mwisho ijumaa wote wawe majumbani mwao.