Kenya produces More Maize than Tanzania (3 times)

Heheeee!!!dogo naona hii repoti imeluumiza sana
report hio inaonesha ni kiasi gani kenya wanaproduce maize kwa mwaka na demand yao ni kiasi gani kwa mwaka,vivyo hivyo na kwa Tanzania pia hata mazao mengine, kitu ambacho kenya manawazidi wa Tanzania ni production ya maziwa tu
 
Yeah upuuz wao.
Unajua kuna watu wanaumia kwa kutokujua haki zao.
Wale ignorants hawakujua haki zao that's why wakawa vile
Ahaaaa...ni sawa na wewe uliyesema waliokula mavi ni upumbavu wao...halafu ubakuja kumpinga mwenzio kifua kifua
 
SIKILIZA WEWE MIMI SIO MTOTO HALAFU KOMA KUNIITA BONGOLALA.
KM MMEZOEA KUAMINI DATA ZA KUPIKWA AMININI.
KWANZA NIMEKUONA BONGE LA FALA.
WE UNA POPULATION NDOGO PRODUCTION KUBWA KIVP DEMAND ISITOSHE.??
HIYO TZ POPULATION KUBWA NA DEMAND INAKUWA MEETED NA BADO ZINGINE HUPELEKWA VIWANDANI.
KM POPULATION NDOGO PRODUCTION KUBWA KIVP WATU WAFE NJAA??
NAHISI HUKUSOMA RESEARCH NA WALA HUJUI RESEARCH NIONDOLEE UJINGA SITAKAA NIKABISHANA NA MKENYA KAMWE KWA AKILI ZENU FUPI
Wewe baki na ubongolala wako hapo.
Tanzania LDC itabaki kuwa one of the most food insecure countries in Africa.
Sasa hivi mnakimbizana na South Sudan kwa statistics.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Back
Top Bottom