mimi nili dhania mwendo ni bampa kwa bampa, tukitoa wanaweka. ...Mwendo wa mbele kwa mbele, hakuna nini wala nini.
Hawana utundu huo, uwezo wa kwenda nasi bampa to bampa hawana, inataka watu wenye kasi na sio hawa waswahili wenye vijimaneno mengi halafu matendo zero.