Kenya kurusha vyombo viwili zaidi angani kutokea kituo cha Malindi

Kwani kwa akili zenu finyu hivi vyombo ambavyo vinarushwa angani huwa ni vya anasa au? Vinatumiwa kuboresha maisha, ikiwa ni pamoja na ukulima, usalama, elimu n.k. Kupitia mbinu za kisayansi, sio ule uKinjekitile wenu wa sijui nyungu season 2 na kuviombea virusi makanisani na misikitini. Sitashangaa kusikia kwamba hadi kwenye karne hii bado mnauziwa data na 'mabeberu' wenu wapendwa, zinazohusu uvamizi wa nzige unaoendelea ndani ya mipaka ya Tz. Pendeni kusoma kwanza kabla ya kurukia kwenye comment zenu za kipumba. "...The benefits of having satellites in space include selling data collected to other countries. It also means the availability of quality data for use in making efficient decisions in the fight against climate change, promotion of national security, enhancement of agriculture, learning, identifying areas with minerals through earth observation..."
ofcourse pelekeni mahindi kwa over 1.5 mln Kenyans in hunger! Uhuru hana tofauti na Kim Rais wa Korea Kaskazini!
Tony254
 
Kwa Kenya hiyo miradi kwa sasa siyo kipau mbele. Kuna a lot of (basic) pressing issues.

Nahisi ni deal za watu hizo kwenye 10%.

Ona unafuja pesa, wakati una watu kama hawa 👇🏽👇🏽👇🏽 kila mahali ya Kenya.


IMG_2414.jpg
 

Attachments

  • IMG_2414.jpg
    IMG_2414.jpg
    38.6 KB · Views: 1
Ikumbukwe tayari tuna chombo angani, na sasa tupo kwenye maandalizi ya kurusha viwili zaidi....
Vyombo angani husaidia sana kwenye kudadavua ardhi kwenye nchi na kubaini uwepo wa raslimali na mengineyo.

The Kenya Space Agency (KSA) is set to launch two mini-rockets from the Malindi Space Centre in collaboration with the University of Rome in August.

The rockets will be launched using high altitude balloons, an improvement of the earlier huge rockets that were being launched in the 1980s and 1990s.


The use of high-altitude balloons as launch pads for mini-rockets and satellites reduces the cost of sending rockets into space, Mr Arwasa said.

He noted that “satellites and rockets have become smaller because of advances in technology.

“We’ve students who are already working on building and launching the two at the Malindi Space Centre. We’re working with the University of Rome.”


The launch was pushed to August after seven professors involved in the project from Rome tested positive for Covid-19.

“We were expecting nine professors from the University of Rome to join us to witness these students launching the mini-rockets, but unfortunately seven tested positive for Covid-19,” Mr Arwasa said.

The benefits of having satellites in space include selling data collected to other countries. It also means the availability of quality data for use in making efficient decisions in the fight against climate change, promotion of national security, enhancement of agriculture, learning, identifying areas with minerals through earth observation.

KSA, Mr Arwasa said, will ensure information is centralised and accessible to all to avoid duplication.

Hahahaaaa

Wakenya bana.

Wenzenu Wazambia walishagaanza hayo mambo tokea 1964 🤣🤣🤣

 
Ikumbukwe tayari tuna chombo angani, na sasa tupo kwenye maandalizi ya kurusha viwili zaidi....
Vyombo angani husaidia sana kwenye kudadavua ardhi kwenye nchi na kubaini uwepo wa raslimali na mengineyo.

The Kenya Space Agency (KSA) is set to launch two mini-rockets from the Malindi Space Centre in collaboration with the University of Rome in August.

The rockets will be launched using high altitude balloons, an improvement of the earlier huge rockets that were being launched in the 1980s and 1990s.


The use of high-altitude balloons as launch pads for mini-rockets and satellites reduces the cost of sending rockets into space, Mr Arwasa said.

He noted that “satellites and rockets have become smaller because of advances in technology.

“We’ve students who are already working on building and launching the two at the Malindi Space Centre. We’re working with the University of Rome.”


The launch was pushed to August after seven professors involved in the project from Rome tested positive for Covid-19.

“We were expecting nine professors from the University of Rome to join us to witness these students launching the mini-rockets, but unfortunately seven tested positive for Covid-19,” Mr Arwasa said.

The benefits of having satellites in space include selling data collected to other countries. It also means the availability of quality data for use in making efficient decisions in the fight against climate change, promotion of national security, enhancement of agriculture, learning, identifying areas with minerals through earth observation.

KSA, Mr Arwasa said, will ensure information is centralised and accessible to all to avoid duplication.

Hongera yao
 
So vibaya kurusha hivyo vyombo, ila ningewashauri mngekabiliana kwanza na njaa ndio mje kwenye mambo mengine,juzi tu nilikuwa kisumu,watu wanadondoka tu njiani kwa ajili ya njaa
Dah, babu wee mwongo kumbe, sikujua! 🤣 🤣 🤣
✌️
 
Back
Top Bottom