MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,493
- 8,729
Wakuu nchini kenya kuna taharuki ya hatari sana make ndani ya mwezi mmoja hivi na wamepoteza viongozi watatu.kwanza ni CEO wa Safaricom then Mbunge na sasa Gavana.
Wanamjadala mkubwa sana na wanacho taka ni Serikali itangaze cancer kama janga la Taifa.
Ila kwakweli Cancer ni hatari jamani mimi sikuwaga najua nilijua Ngoma nfo hatari ila Cancer inatisha. Tuombe sana na hizi life style za siku hizi aisee tutaisha.
Wanamjadala mkubwa sana na wanacho taka ni Serikali itangaze cancer kama janga la Taifa.
Ila kwakweli Cancer ni hatari jamani mimi sikuwaga najua nilijua Ngoma nfo hatari ila Cancer inatisha. Tuombe sana na hizi life style za siku hizi aisee tutaisha.