Kenya kuna marapper hatari nimegundua hivi karibuni

Kenya kuna marapper hatari nimegundua hivi karibuni

mwamba_ngori

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
251
Reaction score
295
Hii inawahusu wale wanao fuatilia mziki wa rapp
Kenya kuna rapper maarufu kabisa kwa jina la Khaligraph Jones. Lakin nimekuja kujua kuna Group flan lipo Kenya hawa jamaa wana jiita AFROCENTRIC . Asee hawa jamaa wana rap ile Hatari Wenda wakaanza kumtisha Khaligraph.
Na mmoja kati yao ambaye anaonekana Kuwa Bora zaid huyu jamaa jinsi anavyo rap naweza kumlinganisha na Khaligraph kwa kias Flan mpaka kwenye Ngoma ya KhaliCartel 2 alikuwemo huyu jamaa Anaitwa KATAPILLA ni jamaa mwenye skill sana za kurapp Tanzania cjaona kabxa wa kuzid Hawa jamaaaaa.
Afrocentric wana Ngoma zao angalia YouTube
katapilla8-20200217-0001.jpeg
khaligraph_jones-20200123-0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii inawahusu wale wanao fuatilia mziki wa rapp
Kenya kuna rapper maarufu kabisa kwa jina la Khaligraph Jones. Lakin nimekuja kujua kuna Group flan lipo Kenya hawa jamaa wana jiita AFROCENTRIC . Asee hawa jamaa wana rap ile Hatari Wenda wakaanza kumtisha Khaligraph.
Na mmoja kati yao ambaye anaonekana Kuwa Bora zaid huyu jamaa jinsi anavyo rap naweza kumlinganisha na Khaligraph kwa kias Flan mpaka kwenye Ngoma ya KhaliCartel 2 alikuwemo huyu jamaa Anaitwa KATAPILLA ni jamaa mwenye skill sana za kurapp Tanzania cjaona kabxa wa kuzid Hawa jamaaaaa.
Afrocentric wana Ngoma zao angalia YouTubeView attachment 1363945View attachment 1363947

Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya Kuna marapper Hatali nimegundua Hivi kalibuni!!!!!!!!!
 
Msije kujifanya wote wa Kenya tu. Wale jamaa waliokuwa kwa Khali Cartel ni rappers wazuri.
 
Back
Top Bottom