Kenya inatumia $400 million kununua Silaha, kupigana na nani?

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Wakati zaidi ya wakazi milioni 2 wa nchi ya Kenya wakiwa hawana chakula na nchi hiyo imeomba msaada wa chakula kutoka nje, Serikali yake inatumia zaidi ya milioni 400 (USD) kununulia Silaha!
Kumbe fedha zipo, sasa kwa nini nchi ya Kenya ilikwenda kukopa kwa Wachina kujenga Reli? Kwa nini wasingetumia fedha zao kujengea Reli? Na isitoshe ni nani adui wa nchi ya Kenya mpaka itumie fedha zote kununulia Silaha?

Serikali ya Kenya yaomba msaada ya chakula kulisha watu wake!


Watoto wa Shule nchini Kenya, wakisubiri chakula!!
New-UN-Decade-Aims-to-Eradicate-Hunger-Prevent-Malnutrition.jpg
 
ushamba mwingi tu ndio mko nao....

hivi mnajua ATL imetumia pesa ngapi tangu waanze kununua ndege? unafikiri itatumia pesa ngali kununua spare parts na kufanya maintanance na repair? kuna sababu kwanini ma milionnair hua hawanunui private jet bali hu kodisha... cost ya maintanance kwa miaka kama kumi hivi inagharimu pesa nyingi sana...
 
Mi kila siku huwa nasema hili jeshi la kenya hawa vita hawawezi mtu anaekupigana vita huku ana bullet proof na bado ataka aingizwe ndani ya kifaru ajilinde wao wanataka kupiga vita na hawataki kufa,
Eehhh mnataka kupigana vita huku hamtaki kufa haaa kaa nyumbani.

Sasa nawe mtoa mada ungali hutambui wao wanunua silaha kwa ajili ya hao nduguze wa North(Al-shabaab).
 
Mi kila siku huwa nasema hili jeshi la kenya hawa vita hawawezi mtu anaekupigana vita huku ana bullet proof na bado ataka aingizwe ndani ya kifaru ajilinde wao wanataka kupiga vita na hawataki kufa,
Eehhh mnataka kupigana vita huku hamtaki kufa haaa kaa nyumbani.


Sasa nawe mtoa mada ungali hutambui wao wanunua silaha kwa ajili ya hao nduguze wa North(Al-shabaab).
umenikumbusha ile video clip jamaa wanajiamini sana.
wacha wakenya wanunua silaha wawashughulikie tu
 
Fedha tayari zimetengwa ili kudeal na ukame, na serikali ilitangaza kuwa itawafidia wafugaji wote Ksh.2mn waliopoteza mifugo.
Lakini liwe liwalo, our military has to be remodernized with the latest weaponry due to the prevailing security circumstances.
 
Waacheni mashemeji zangu wanunue silaha, wanaume wakapigane wanaume wabongo tuendelee kuoa dada zao..
 
Wakati zaidi ya wakazi milioni 2 wa nchi ya Kenya wakiwa hawana chakula na nchi hiyo imeomba msaada wa chakula kutoka nje, Serikali yake inatumia zaidi ya milioni 400 (USD) kununulia Silaha!
Kumbe fedha zipo, sasa kwa nini nchi ya Kenya ilikwenda kukopa kwa Wachina kujenga Reli? Kwa nini wasingetumia fedha zao kujengea Reli? Na isitoshe ni nani adui wa nchi ya Kenya mpaka itumie fedha zote kununulia Silaha?

Serikali ya Kenya yaomba msaada ya chakula kulisha watu wake!


Watoto wa Shule nchini Kenya, wakisubiri chakula!!
New-UN-Decade-Aims-to-Eradicate-Hunger-Prevent-Malnutrition.jpg

Mambo ya kenya mbona hayakuhusu tuache na kenya yetu..wew kufa na hiyo country yako mandaz wew
 
Wakati zaidi ya wakazi milioni 2 wa nchi ya Kenya wakiwa hawana chakula na nchi hiyo imeomba msaada wa chakula kutoka nje, Serikali yake inatumia zaidi ya milioni 400 (USD) kununulia Silaha!
Kumbe fedha zipo, sasa kwa nini nchi ya Kenya ilikwenda kukopa kwa Wachina kujenga Reli? Kwa nini wasingetumia fedha zao kujengea Reli? Na isitoshe ni nani adui wa nchi ya Kenya mpaka itumie fedha zote kununulia Silaha?

Serikali ya Kenya yaomba msaada ya chakula kulisha watu wake!


Watoto wa Shule nchini Kenya, wakisubiri chakula!!
New-UN-Decade-Aims-to-Eradicate-Hunger-Prevent-Malnutrition.jpg

Unataka mpaka Alshabab wachukue nchi ndo ujue Kenya ipo katika wakati mgumu kiusalama? Mimi mwenyewe nilikua napenda kwenda kula raha Mombasa nimeacha kwasasa naogopa kuuawa na Magaida yanayoua watu wasio na hatia kama watoto, wazee na wanawake wasio hatia kwa jina la Mungu
 
Back
Top Bottom