Kenya: IEBC ICT Manager, Chris Musando body found at City Mortuary three days after he went missing

kilam

JF-Expert Member
Aug 5, 2011
2,092
2,126
Chris_Musando_dead.jpg


Musando-Missing_Car.jpg

Chris Musando's Land Rover towed to Kasarani Police Station. PHOTO: SAMUEL RAMTU


IEBC ICT manager Chris Musando found dead

Jul. 31, 2017, 12:00 pm
By STAR REPORTER

Missing IEBC ICT manager Chris Musando has been found dead with one of his arms cut off.

Police said the deputy director's body was found in Kikuyu and taken to City Mortuary in Nairobi on Sunday.

His family members have identified it and are at the facility.

After announcing Musando's disappearance, the commission's chairman Wafula Chebukati he was last seen on Friday night.

"The last communication from him was an SMS sent to one of his colleagues at around 3 am on Saturday morning."

A vehicle belonging to Musando was earlier traced to the TRM parking lot. The Land Rover Discovery was found intact at about 1 am on Monday.


Musando was one of the few people with knowledge on the whereabouts of the servers at IEBC.

The manager had given Central police station officers reports of death threats.

Chebukati's security was beefed up for round-the-clock protection, three days after Musando went missing.

He has been assigned six more police officers and two chase cars.

IEBC ICT manager Chris Musando found dead

=====

Mkurugenzi wa kitengo cha kmpyuta (ICT) wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Chris Musando aliyepotea Ijumaa usiku amekutwa amefariki dunia.

Polisi wamesema leo asubuhi kwamba mwili wa Musando pamoja na wa mwanamke ambaye bado hajatambuliwa imekutwa maeneo ya Kikuyu na imehifadhiwa katika chumba cha maiti.

Mapema asubuhi gari lake aina Land Rover Discovery lilikutwa likiwa halijaaribiwa katika eneo la maegesho la TRM, barabara ya Thika saa 7.00 usiku wa kuamkia leo.

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) wa jiji la Nairobi, Ireri Kamwende alisema gari hilo halikuaribiwa na msako umeimarishwa ili kumpata ofisa huyo mwandamizi.

Mwenyekiti wa Tume, Wafula Chebukati alisema Musando alionekana kwa mara ya mwisho Ijumaa usiku. "Mawasiliano ya mwisho kutoka kwake yalikuwa ujumbe mfupi wa SMS ambao ulitumwa kwa mmoja wa marafiki zake saa 9.00 usiku wa kuamikia Jumamosi,” alisema Chebukati.

Aliongeza kwamba ujumbe huo ulionyesha Msando alikuwa na fahamu zake na anayejua uelekeo wa siku hiyo.

Musando alikuwa anajaza nafasi ya mkurugenzi wa ICT wa IEBC James Muhati ambaye alilazimishwa kwenda likizo ya siku 30 baada ya kushindwa kutoa ushirikiano na idara ya ukaguzi.


=====

Missing IEBC ICT deputy director Chris Msando has been found dead.
His body is at City Mortuary in Nairobi where his relatives are. The commission's chairman Wafula Chebukati said Msando was last seen on Friday night.

"The last communication from him is an SMS sent to one of his colleagues at around 3 am on Saturday morning," Chebukati said.

A vehicle belonging to Msando was earlier traced to the TRM parking lot.
The Land Rover Discovery was found intact at Thika road Mall at 1 am on Monday.

Source: The star




 
Mkurugenzi wa kitengo cha kmpyuta (ICT) wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Chris Musando aliyepotea Ijumaa usiku amekutwa amefariki dunia.

Polisi wamesema leo asubuhi kwamba mwili wa Musando pamoja na wa mwanamke ambaye bado hajatambuliwa imekutwa maeneo ya Kikuyu na imehifadhiwa katika chumba cha maiti.

Mapema asubuhi gari lake aina Land Rover Discovery lilikutwa likiwa halijaaribiwa katika eneo la maegesho la TRM, barabara ya Thika saa 7.00 usiku wa kuamkia leo.

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) wa jiji la Nairobi, Ireri Kamwende alisema gari hilo halikuaribiwa na msako umeimarishwa ili kumpata ofisa huyo mwandamizi.

Mwenyekiti wa Tume, Wafula Chebukati alisema Musando alionekana kwa mara ya mwisho Ijumaa usiku. "Mawasiliano ya mwisho kutoka kwake yalikuwa ujumbe mfupi wa SMS ambao ulitumwa kwa mmoja wa marafiki zake saa 9.00 usiku wa kuamikia Jumamosi,” alisema Chebukati.

Aliongeza kwamba ujumbe huo ulionyesha Msando alikuwa na fahamu zake na anayejua uelekeo wa siku hiyo.

Musando alikuwa anajaza nafasi ya mkurugenzi wa ICT wa IEBC James Muhati ambaye alilazimishwa kwenda likizo ya siku 30 baada ya kushindwa kutoa ushirikiano na idara ya ukaguzi.


=====

Missing IEBC ICT deputy director Chris Msando has been found dead.
His body is at City Mortuary in Nairobi where his relatives are. The commission's chairman Wafula Chebukati said Msando was last seen on Friday night.

"The last communication from him is an SMS sent to one of his colleagues at around 3 am on Saturday morning," Chebukati said.

A vehicle belonging to Msando was earlier traced to the TRM parking lot.
The Land Rover Discovery was found intact at Thika road Mall at 1 am on Monday.


Source: The star
 
Mwili wa Meneja wa Mawasiliano wa Tume ya Uchaguzi nchini Kenya,Chris Musando umepatikana ukiwa umeharibika huku akiwa hana mikono yote. Tume hiyo ililipoti jana Polisi kuwa afisa wake hajulikani alipo tangu siku ya Ijumaa ya Julai 28 mwaka huu.Polisi wamesema kuwa mwili wake umehifadhiwa katika Hospitali ya Jiji la Nairobi. Tukio hili la kuhuzunisha linatokea huku nchi hiyo ikiwa imebakiza siku 8 kufanya uchaguzi mkuu
 
Hata kama hawatakagi ujinga lakini wameenda mbali sana, sio vizuri mbele za Jamii nzma ya kiafrica.

Serikali ijitahidi kurekebisha mapungufu na kuwakamata wahusika ili wafikishwe mbele ya sharia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
f0360a4edcf2a6697cf333a3c3589b90.jpg

Mkurugenzi wa ICT wa IEBC nchini Kenya aliyetoweka Ijumaa, Bw. Chris Musando amepatikana akiwa ameuawa.

Chris Musando ambaye ni Mkurugenzi wa masuala ya teknolojia wa IEBC, alipatikana kwenye chumba kimoja cha kuhifadhia maiti mjini Nairobi.

Mawasiliano ya mwisho kutoka kwa Musando aliyafanya siku ya Jumamosi mwendo wa saa tisa alfajiri kupitia ujumbe wa sms na mmoja wa wafanyakazi wenzake.

Kisa hiki kinatokea ikiwa imesalia juma moja kabla ya kuandaliwa uchaguzi mkuu nchini Kenya ambao utafanyika Agosti 8.

Polisi wanasema kuwa mwili wa Mkurugenzi huyo pamoja na wa mwanamke ambaye hakutambuliwa, ilipatikana eneo la Kikuyu lililo vitongoji vya mji wa Nairobi na kupelekwa katika chumba cha kuhifadhia maiti.
 
Back
Top Bottom