11. Aliyetuahidi eti this time ataappoint the so-called 'clean hands" government isiyo corrupt ndio huyu leo amemrejesha Kiraitu Murungi mmojawapo ambaye alihusishwa na sakata la AngloLeasing mpaka hata akajiuzulu. From the face of his new half cabinet, inaonekana wazi wazi kwamba Kibaki hakusoma any lesson from Kenyans rejection of his 21 ministers. Isiopkua tu wale wa KANU na ODM-K, wote wale wa PNU walikuwepo kwenye Baraza la mwaka jana. This means that Mr Kibaki is either out of touch with the feelings of the people he wishes to govern or has some of the most misleading advisors a president can ever have.
Mwalimu unachosema ndicho ambacho mara nyingi kimetokea. Kuzungukwa na polisi, kupigiwa saluti, na ving'ora kila aendako inamfanya mtu ajihisi "yeye ni yeye". Mwalimu alikiita hicho chote kuwa ni "sheer pomposity"!
Sababu ya Kibaki kutaka kuapishwa mapema ni dhahiri sasa kuwa it gave him command over state organs. Kitu kimoja ambacho kinaweza kutokea ni pale majenerali wa jeshi watakaposema kuwa kama jeshi linashindwa kumtambua Kibaki kama Rais na hivyo kuondoa utii wake kwake utakuwa ni mwisho wa Kibaki.
Lakini kwa kadiri vimulimuli na ving'ora vinaendelea Kibaki ana nguvu kubwa kuliko watu wanavyofikiria. Hadi hivi sasa Kibaki hahitaji recognition ya mtu mwingine yoyote kuwa ni Rais wa Kenya kwani tume imemtangaza hivyo (licha ya kauli za kigeugeu za Mwenyekiti wa Tume).
Najaribu kukaa chini na kufikiri ni jinsi gani wa Kenya wanaweza kufikia usuluhishi bila
a. Kibaki Kujiuzulu
b. Raila kuendelea kutomtambua Kibaki kama Rais?
Jibu ninaloliona ni sifuri!
MWAI KIBAKI, C.G.H., MP. President and Commander -In-Chief of the armed forces of the Republic of Kenya. Nairobi 8th January, 2008
Mwanakijiji,
Kuunganisha kile umesema hapo juu, ni kweli kabisa Kibaki anafikiria nguvu ya kijeshi. Hebu ona jinsi alivyosaini hii statement aliiyoitoa kwa media:
Kulikuwa na sababu yeyote ya kuweka the commander in chief of the armed forces......?
Mzalendohalisi,
Inatakiwa Wakenya wamng'oe Kibaki hata kwa kutumia nguvu kwa faida ya nchi yao.
Kibaki akibaki madaraka itakuwa ni pigo kwa wapenda demokrasia Afrika, maana hata akina Karume, Mugabe na wengine wataendelea kuiba kura.
Hili likibaki mi nalichukia sana.
lakini wajimini baraza la mawaziri kumi na ushee tuuu??kwa hilo angekua kashinda kwa haki ningempongeza kwa kufanya jambo la maana sio kama sie mawaziri weeengi wakati kazi zingine zafanywa na raisi mwenyewe kama leo ukiniuliza kazi ya Membe ni nin wakat raisi naye anado kazi za mambo ya nje bado nakosa jibu..lets pray for majirani zetu wawe na peace back
hivi.. Mawaziri wanachaguliwa kabla ya kuapishwa kuwa wabunge? au unakuwa Waziri kabla hujawa Mbunge rasmi?