ERIC JOSEPH
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 567
- 55
Poleni wakenya ila wenzetu wa maghalibi wanatuhalibia mana sisi tukipata matatizo kwao poa ila wao hata kama ni mmoja wanatunyanyasa je haki iko wapi mzungu au mwafrica.nawashauli watumie njia za kidemokrasia mana wataleta mafaa makubwa haya ya kiuchumi