Kwanini mizigo yetu mnaiacha nyuma, (Nairobi) wakati tuna connect flight?
Ukifika Dar unastukia mizigo haijafika! Ukiuliza hakuna anayekujibu sana sana utaambiwa hatujui jaza fomu njoo kesho.
Hakuna service ya kuitrace ipo wapi na kwanini haiku board kwenye flight waliyo kuconnect!
Siku utakayoipata unakuta mabag yalifunguliwa na baadhi ya vitu havionekani!
MNA
tatizo gani? nyie mnaimba pride of Africa and you are real shame of Africa!
Ukifika Dar unastukia mizigo haijafika! Ukiuliza hakuna anayekujibu sana sana utaambiwa hatujui jaza fomu njoo kesho.
Hakuna service ya kuitrace ipo wapi na kwanini haiku board kwenye flight waliyo kuconnect!
Siku utakayoipata unakuta mabag yalifunguliwa na baadhi ya vitu havionekani!
MNA
tatizo gani? nyie mnaimba pride of Africa and you are real shame of Africa!