Kenya Airways ni Bogus!!!

Kenya Airways ni Bogus!!!

Cyan6

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2013
Posts
4,531
Reaction score
1,223
Kwanini mizigo yetu mnaiacha nyuma, (Nairobi) wakati tuna connect flight?
Ukifika Dar unastukia mizigo haijafika! Ukiuliza hakuna anayekujibu sana sana utaambiwa hatujui jaza fomu njoo kesho.
Hakuna service ya kuitrace ipo wapi na kwanini haiku board kwenye flight waliyo kuconnect!
Siku utakayoipata unakuta mabag yalifunguliwa na baadhi ya vitu havionekani!
MNA
tatizo gani? nyie mnaimba pride of Africa and you are real shame of Africa!
 
Wahuni sana hawa watu! Hana mimi yalishawahi kunikuta hayo, kesho yake wakasema eti mzigo wangu ulikwenda nchi nyingine. Nikaja kuupata baada ya almost wiki nzima tena wakiwa wameshavunja makufuli na kubeba baadhi ya vitu vyangu.
 
poleni....hapo ndio umuhimu wakuwa na shirika lako la usafiri...
 
Mie hata sijawahi kupanda ndege,kumbe mizigo huwa haiwekwi kwenye buti kama kwenye gari.
 
Kwanini mizigo yetu mnaiacha nyuma, (Nairobi) wakati tuna connect flight?
Ukifika Dar unastukia mizigo haijafika! Ukiuliza hakuna anayekujibu sana sana utaambiwa hatujui jaza fomu njoo kesho.
Hakuna service ya kuitrace ipo wapi na kwanini haiku board kwenye flight waliyo kuconnect!
Siku utakayoipata unakuta mabag yalifunguliwa na baadhi ya vitu havionekani!
MNA
tatizo gani? nyie mnaimba pride of Africa and you are real shame of Africa!

Ndugu, lost luggage si jambo geni kwenye usafiri, wewe jaza fomu ulivyo agizwa kisha ungoje mikoba yako itakufikia. usionyeshe kuwa KQ ndio wanaopoteza ma begi ya watu kwenye airlines zote duniani, msiwe watu wa kulalamika kila saa.
 
KQ ni wazembe wa kutupwa
wanatakiwa kuhakikisha mizigo yote imeingia katika ndege yao
imeshanitokea mara mbili kutokea amsterdam kupitia nairobi kuja dar
unajaza form unalazimika kuufuata mzigo kwa garama zako na muda wako
wakati wanatakiwa kukulipa garama zote ulizotumia...
hakuna sehemu wanakoiba mizigo kama Nairobi.
Air Tanzania lini mtanunua Boeing 777 nasi tuwe na international flights from Amsterdam?
KLM walitaka kuingia ubia na ninyi waupanue uwanja wa dar serikali ikasua sua
 
Customer care yao sefuri unamsemesha mhudumu kavuta mdomoo..lakini kw mzungu meno yote nje. Afu hata zile long journey unabaniwa bia tatu tu. Ethiopian hadi raha ..full mi whiskey unajipimia
 
Mie hata sijawahi kupanda ndege,kumbe mizigo huwa haiwekwi kwenye buti kama kwenye gari.

Una safari ndefu sana mkuu.
Anza na fastjet basi walau Dar mpaka Mwanza kisha unageuza jioni hiyo hiyo.
Tehe tehe tehe tehe........
 
Customer care yao sefuri unamsemesha mhudumu kavuta mdomoo..lakini kw mzungu meno yote nje. Afu hata zile long journey unabaniwa bia tatu tu. Ethiopian hadi raha ..full mi whiskey unajipimia

Pole sana mkuu
 
Kwanini mizigo yetu mnaiacha nyuma, (Nairobi) wakati tuna connect flight?
Ukifika Dar unastukia mizigo haijafika! Ukiuliza hakuna anayekujibu sana sana utaambiwa hatujui jaza fomu njoo kesho.
Hakuna service ya kuitrace ipo wapi na kwanini haiku board kwenye flight waliyo kuconnect!
Siku utakayoipata unakuta mabag yalifunguliwa na baadhi ya vitu havionekani!
MNA
tatizo gani? nyie mnaimba pride of Africa and you are real shame of Africa!

Hao jamaa ndo kawaida yao sana especially linapokuja suala la mizigo na connecting flight.
Jitahidi sana ukiweza uwaepuke kama unasafiri nao and you have to connect the flight in NBI. Unaweza lia.
Mzigo unaweza ukaja very late na isitoshe unakuja tayari ushafunguliwa wamekwiba baadhi ya vitu.
Uki complain wanachukulia poa
 
Kwanini mizigo yetu mnaiacha nyuma, (Nairobi) wakati tuna connect flight?
Ukifika Dar unastukia mizigo haijafika! Ukiuliza hakuna anayekujibu sana sana utaambiwa hatujui jaza fomu njoo kesho.
Hakuna service ya kuitrace ipo wapi na kwanini haiku board kwenye flight waliyo kuconnect!
Siku utakayoipata unakuta mabag yalifunguliwa na baadhi ya vitu havionekani!
MNA
tatizo gani? nyie mnaimba pride of Africa and you are real shame of Africa!

Ndiyo maana nikisafiri, vitu vyangu vya muhimu vyote hasa "documents" huwa naingia navyo ndani. Huko kwenye mizigo huwa ni nguo tu!
 
Kwanini mizigo yetu mnaiacha nyuma, (Nairobi) wakati tuna connect flight?
Ukifika Dar unastukia mizigo haijafika! Ukiuliza hakuna anayekujibu sana sana utaambiwa hatujui jaza fomu njoo kesho.
Hakuna service ya kuitrace ipo wapi na kwanini haiku board kwenye flight waliyo kuconnect!
Siku utakayoipata unakuta mabag yalifunguliwa na baadhi ya vitu havionekani!
MNA
tatizo gani? nyie mnaimba pride of Africa and you are real shame of Africa!


Hiyo yako cha mtoto mkulu..... mimi kuna siku nimetokea zangu Toronto nimefika Amsterdam ili ni badili ndege, waliniacha schipho Amsterdam kisa wame over book..... palikuwa padogo mtu wangu.... niliwapiga mkwara mpaka wakanilipa (usumbufu) zaidi ya chakula na malazi......
Bado hawaja jipanga.....
 
hv mmesahau west gate jinsi walivyokwiba kwenye maduka.
Hawa watu n shenzy 2
 
hivi Kenya Airways wanashirikiana na KLM? au wanajitegemea.
 
...ATC tulifisadi wenyewe! TC zikawa zinabeba vigogo na ndugu zao; watoto wa mjomba, shangazi, na jamaa wa karibu bure!

...mali za shirika la ndege (TC) zikapewa jina lake rasmi kuwa hii ni MALI YA UMMA , kukawa hakuna mwenye uchungu na mali zetu watanzania...! " sasa tunaanza kulalamikia wezetu KQ' wakati shirika la ndege la kwetu tuliliteketeza wenyewe kwa mikono yetu, na midomo yetu wenyewe, tukajaza mitumbo yetu kwa faida ya waTz wachache wenye uchu na mali za umma...!
...Mh. Rais' "JK" ATCL iko wapa?
 
KQ zinawanyanyasa sana watu wenye ngozi nyeusi, unaweza ukahashiwa flight yako kisa tu wamepatikana abiria 'weupe'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom