February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,204
- 3,060
Hii Mr Morale and the Big steppers
Imekuwa No morale with a big step down.
Tulikaa tukisubiria kazi kwa miaka mi5 lakini amekuja na album mid.
Haina replay value, ngoma ambazo kidogo ni atleast mule ni N95, We cry together na Rich spirit...lakini hata hizo ni one time listens, hazina replay value.
Niseme ukweli, mimi nilikuwa fan wake sana na nlikuwa kwenye bandwagon ya kusema Kdot ndiye best Rapper alive kwasasa.
ila kwa hii direction aliyochukua imenifanya nianze kumfuatilia Jcole ambaye mwanzo nlkuwa simkubali na nikaja kugundua Jcole ndo the real deal.
For now, for me..Jcole is the best rapper alive.
Imekuwa No morale with a big step down.
Tulikaa tukisubiria kazi kwa miaka mi5 lakini amekuja na album mid.
Haina replay value, ngoma ambazo kidogo ni atleast mule ni N95, We cry together na Rich spirit...lakini hata hizo ni one time listens, hazina replay value.
Niseme ukweli, mimi nilikuwa fan wake sana na nlikuwa kwenye bandwagon ya kusema Kdot ndiye best Rapper alive kwasasa.
ila kwa hii direction aliyochukua imenifanya nianze kumfuatilia Jcole ambaye mwanzo nlkuwa simkubali na nikaja kugundua Jcole ndo the real deal.
For now, for me..Jcole is the best rapper alive.