Yaani hapa not like us hapa hit em up..
Masihara hayo, ile hit em up ni hatari, lile biti tu ni habari nyingine, hapa linagonga kichwani.. halafu pac anaanza kiintro cha kumchana big kisha verse ya kwanza, cheki ile energy sikiliza ile flow, not like us inaonekana ni ya kiwaki, haiko daraja hilo mkuu.