Ni kelele ambazo watu wamejitoa fahamu,wanaishi ya enzi ya mawe. Kelele kuanzia saa 9 usiku,na mbaya zaidi sauti ikisambaa kilomita kadhaa kulingana na uwezo wa kipaza sauti. Lazima serikali kwa kushirikiana na viongozi wa dini waweke viwango vya sauti zinazoruhusiwa usiku. Bila hivyo tutaishi kama mahayawani wanavyoishi maporini.