Kelele za dar live mbagala

Kuna sheikh mmoja rafiki yangu Baharia kitambo yeye yuko moderate sana nimemwambia awaambie masheikh wenzake angalau zile kelele wawe wanaanza saa saa 10 na nusu usiku, akanijibu akaniambia mapumbavu yale yanafanya makusudi, wao wana kanda zimesharekodiwa wanapigia kelele wenzao kama wale wa dawa ya mende, kunguni panya viroboto, ukitoka ndani wao wanafanya kazungurukee wanakuja kwa mkeo kupiga cha mkware. hii ni fact.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…