kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 11,729
- 13,198
Ni kweli Moshi na Arusha kuna hiyo shida kwasasa Wazee wanamepotea sana kwa kweli, ninadhani na hali ya hewa pia inachangia sana, hebu fikiria ukiwa na mafua tu halafu upo kwenye mazingira ya ubaridi unavyopata shida, Sasa ukiweka hapo na kirusi chenyewe ndio kabisa Mzee akipata hachukui round.Jiwe aliharibu watu akili na kuamini hamna corona ila Arusha na Moshi kumeathirika hasa Moshi ambako Kuna wazee wengi.
Matamshi yake yalifanya watu waache kuchukua tahadhari ikiwemo kuruhusu misongamano na kutokuvaa barakoa, matokeo wizara ikaacha kutoa maelekezo na Sasa watu hawafanyi lolote na matokeo tunaona uhaba wa mitungi ya oksigen
Dah mwendazake sijui alikuwa anawaza Nini, kafamya watu wapuuze corona na Sasa ni mwendo wa kupuputika
Moshi na Arusha kuanzia January na mwezi wa pili na tatu kwenye second wave watu wengi walikufa Sana na hii ya Sasa, na kipindi hichi nadhani baridi Kali za kipindi hichi zimechangiaNi kweli Moshi na Arusha kuna hiyo shida kwasasa Wazee wanamepotea sana kwa kweli, ninadhani na hali ya hewa pia inachangia sana, hebu fikiria ukiwa na mafua tu halafu upo kwenye mazingira ya ubaridi unavyopata shida, Sasa ukiweka hapo na kirusi chenyewe ndio kabisa Mzee akipata hachukui round.
Nimekuwepo maeneo hayo siku za hivi karibuni kiukweli wanajaribu sana kuchukua tahadhari nimeona kwenye nyumba za Ibada wanavyojaribu kuchukua tahadhari, huwezi kuamini mpaka kwenye makazi ya watu kuna sanitizer na maji kwenye ndoo ila bado hiyo haijasaidia.