Usiwaonyeshe ubabe sana kabla hii deal ikamilike, Si unajua vile hawa jamaa wana wivu wa kishetani? Jamaa wao serekalini wanaeza kuona hii taaarifa wakaifikisha kwa wakubwa wao na kusababisha wapinge hio deal just to win some argument on JF!Kenya ndio baba la Afrika Mashariki na Kati. Equity bank imenunua benki mbili DR congo. KCB ipo South Sudan na Ethiopia. KCB ipo Uganda na Tanzania. I&M inapanga kununua benki Uganda. Sasa KCB inapanga kununua benki Rwanda na Tanzania. Hakuna nchi hapa Afrika Mashariki ambayo hatujanunua benki kutoka kwao. Hakuna benki hapa EA ambayo ipo safe from Kenyan banks. Hivi karibuni benki zote ukanda huu zitamilikiwa na benki za Kenya
KCB plans to acquire Rwandan and Tanzanian banks
Kenyan commercial banks are looking beyond their borders for acquisitions.
In Summary
• KCB will pay cash for the shares in the Rwandan bank, it said in a statement, to be computed using a price to book multiple of 1.09.
• It also aims to make an offer to the remaining shareholders to acquire more shares on the same terms as the 62 per cent already agreed, KCB said.
by REUTERS News
Kenya’s top lender by assets, KCB Group, plans to acquire 62.06 per cent in Banque Populaire du Rwanda and 100 per cent in African Banking Corporation Tanzania Limited, it said on Thursday.
Kenyan commercial banks are looking beyond their borders for acquisitions, seeking to tap growing opportunities in the wider East Africa region, driven by rapid economic growth and trade integration.
KCB will pay cash for the shares in the Rwandan bank, it said in a statement, to be computed using a price to book multiple of 1.09.
It also aims to make an offer to the remaining shareholders to acquire more shares on the same terms as the 62 per cent already agreed, KCB said.
In the ABC Tanzania deal, KCB will also pay cash, using a price-to-book multiple of 0.42, the group said.
Both transactions are still subject to various approvals including those of regulators in all three markets, KCB said. (Reporting by Duncan Miriri; Editing by Clarence Fernandez)
I doubt it. They are evil but sidhani kama evilness yao imefikia hapo. Anyway this news is widely reported. It is reported in Business daily, Citizen Online, NMG so sioni venye mimi kuireport JF inabadilisha chochote. Mimi I am just reporting what has already been reported by our media. This is not a secret. It is all in the open.Usiwaonyeshe ubabe sana kabla hii deal ikamilike, Si unajua vile hawa jamaa wana wivu wa kishetani? Jamaa wao serekalini wanaeza kuona hii taaarifa wakaifikisha kwa wakubwa wao na kusababisha wapinge hio deal just to win some argument on JF!
Haukumbuki yule dada mkenya ambae alikua awe CEO wa Vodafone? Si walianzia kumpinga humu JF hadi mwishowe ikafika ikulu? Serekali kama za TZ,Ethiopia, Uganda hua zinajaribu ku control kila kitu na kila kitu wanachukulia kama opportunity ya kufanya propaganda, so wakati mwengine hata issue ndogo ndogo hufika hadi juu.I doubt it. They are evil but sidhani kama evilness yao imefikia hapo. Anyway this news is widely reported. It is reported in Business daily, Citizen Online, NMG so sioni venye mimi kuireport JF inabadilisha chochote. Mimi I am just reporting what has already been reported by our media. This is not a secret. It is all in the open.
African Banking Corporation (T) Ltd si bank yenye asili ya Tanzania. Ni sawa na KCB ainunue Equity Bank (T) Ltd. Bank zenye asili ya Tz ni kama Azania, NMB, CRDB, TPB Bank.....zinunueni hizo ndo tuone mmenunua bank za Tanzania.Tutamiliki benki zenu zote hivi karibuni.
Uje uulize kwanza ni waTanzania wangapi wanaitumia hio BancABCUnaongea ni kama nyani ndio waliofungua account katika CRDB. Ni Watanzania wenzako wanaomiliki akaunti katika benki ya CRDB. Unamaanisha nini ukisema "benki zetu unazijua?"
Kwani kununua bank inababatilisha ukweli kwamba uchumi wa Kenya wa makaratasi?
Unafikiri hakuna regulator katika kuhakikisha taasisi za fedha zinafanya vizuri?Kwahiyo siku moja ukisikia KCB inanunua CRDB utaendelea kuamini hicho unachokiamini kuwa sisi wabongo tupo vizuri na hao wanunuzi wa bank yetu kuwa uchumi wao ni wakwenye makaratasi? Tz kweli tuna kazi
Unafikiri hakuna regulator katika kuhakikisha taasisi za fedha zinafanya vizuri?
Mabank kununuliwa haijaanza leo, na huu ni muendelezo wa kuboresha biashara kwa kufuata misingi sahihi na kwa maendeleo ya uchumi wetu.
Mkuu laiti ungeyajua yaliyoko nyuma ya hayo mabank yanayonunuliwa ungefurahia kinachoendelea sababu ni kwa maslahi ya Tanzania
Ok ! uje inbo nifafanulie huenda nikapata madini ambayo nilikuwa siyajui na utamaduni wangu napenda sana kujifunza
Yapo mengi yahusianayo na taasisi za fedha. Uko uhuni mwingi sana, ukiukwaji wa sheria na taratibu za uendeshaji kijanjajanja kwa maslahi ya wawekezaji au watawala wa hizo taasisi.
Kuna sehemu Tanzania kama nchi tulikosa umakini kwa muda....... ila sababu sheria zipo na mifumo ipo inafika wakati wa kurudi kwenye mfumo na kusahihisha makosa, na hapo ndio ushauri wa regulator kwa kuzingatia maslahi mapana ya pande zote unafanyiwa kazi kwa haya unayoyaona
Haya mambo yalianza 2016. Wajanja zaidi waliuzia wenzao na kutimka, wengine waliamua kufuata taratibu lakini wanapoona pumzi inakaribia kukata ni bora kuchagua njia sahihi kuendelea kusurviveDuhhh hatari/// kwenye sekta ya mabank inaonekana kuna magumashi mengi sana kiusimamizi na kiundeshaji.Mama D upo njema sana
Una evidence gani kuwa benki zenu hazifuati sheria? Na kama ni kweli basi serikali yenu ndio imezembea na kuwakubalia kuvunja sheriaHaya mambo yalianza 2016. Wajanja zaidi waliuzia wenzao na kutimka, wengine waliamua kufuata taratibu lakini wanapoona pumzi inakaribia kukata ni bora kuchagua njia sahihi kuendelea kusurvive
Ukumbuke unapokwepa kufuata taratibu leo unaweza pata faida lakini inapobainika ulikwepa kutimiza wajibu wako utashurtishwa kurudi nyuma na kufuata njia sahihi na kulikua gharama sahihi
Tufate sheria na taratibu bila shurti, tunaweza kufanya ujanja leo lakini tukumbuke unapokua na mifumo sahihi hakuna linalofichika
Umeuliza swali ambalo tayari lina majibu kwenye uliponiquoteUna evidence gani kuwa benki zenu hazifuati sheria? Na kama ni kweli basi serikali yenu ndio imezembea na kuwakubalia kuvunja sheria
African Banking Corporation (T) Ltd si bank yenye asili ya Tanzania. Ni sawa na KCB ainunue Equity Bank (T) Ltd. Bank zenye asili ya Tz ni kama Azania, NMB, CRDB, TPB Bank.....zinunueni hizo ndo tuone mmenunua bank za Tanzania.
Banc ABC ni bank imetoka Botswana kama si Angola.
Wenye nayo walishaiuza kimyakimya tangu mwaka Jana. Walioinunua nao sijui wameshtuka niniUje uulize kwanza ni waTanzania wangapi wanaitumia hio BancABC
Watajuana wenyewe. Naona hawa Wakenya wanafurahia tu hawajui hata soko la Tz likoje.Bank ABC michezo ya bobdiamond na wenzie kwenye biashara ya pesa😎😎 Wajanja waliikimbia wakawaachia equity. Sijui equity wamefika nayo wapi
Wenye nayo walishaiuza kimyakimya tangu mwaka Jana. Walioinunua nao sijui wameshtuka nini
Wataelewa tuu, tena wala sio muda mrefu.... mwakani kabla ya majira ya masika kwisha😁😁😁Watajuana wenyewe. Naona hawa Wakenya wanafurahia tu hawajui hata soko la Tz likoje.