Lazma watu wajue headboy wa Dunia anafanya nini.Dah! Hawa ndugu zetu sijui nani kawaloga yahani wanaonyesha live kuapishwa kwa raisi wa marekani
Hivi VOA walishawai kuonyesha live kuapishwa kwa raisi wa Kenya but anyways i hope hata kuapishwa kwa rais wa Uganda mtaonyesha live
The irony is unaangalia TV ya Kenya wakati kuna TV kibao Tanzania alafu bado unasema hiyo TV ya Kenya imefeli. Kivipi? Hii ina maana KBC wamepita mtihani tena sana hadi wanaatract viewers from other countries. Kukosa akili ni kitu mbaya. 😂 😂 😂Dah! Hawa ndugu zetu sijui nani kawaloga yahani wanaonyesha live kuapishwa kwa raisi wa marekani
Hivi VOA walishawai kuonyesha live kuapishwa kwa raisi wa Kenya but anyways i hope hata kuapishwa kwa rais wa Uganda mtaonyesha live
Which kenyan even watches kBC. Watz ni wajingaThe irony is unaangalia TV ya Kenya wakati kuna TV kibao Tanzania alafu bado unasema hiyo TV ya Kenya imefeli. Kivipi? Hii ina maana KBC wamepita mtihani tena sana hadi wanaatract viewers from other countries. Kukosa akili ni kitu mbaya.
wewe mbuzi kweli mimi mimi nafatilia michuano ya CHAN na KBC wanaonyesha sasa chakushngaza hawajaonyesha mpira kisa kujikomba kwa mabeberu.The irony is unaangalia TV ya Kenya wakati kuna TV kibao Tanzania alafu bado unasema hiyo TV ya Kenya imefeli. Kivipi? Hii ina maana KBC wamepita mtihani tena sana hadi wanaatract viewers from other countries. Kukosa akili ni kitu mbaya. 😂 😂 😂
Yani hadi stetion zetu zenye hatuangalii wao wanaangalia alafu wanasema tumefeli? 😂 😂Which kenyan even watches kBC. Watz ni wajinga
Mbona usiangalie hiyo michuano kwa stesheni za Bongo?wewe mbuzi kweli mimi mimi nafatilia michuano ya CHAN na KBC wanaonyesha sasa chakushngaza hawajaonyesha mpira kisa kujikomba kwa mabeberu.
Wapuuzi wakubwa nyinyi wakenya mnategemea One day VOA watakuja kuonyesha live raisi wa Kenya akiapishwa
Wewe ndio mjinga sababu mtu akizaliwa Kenya tu lazima anakua mjingaWhich kenyan even watches kBC. Watz ni wajinga
za bongo hawaonyeshi.Mbona usiangalie hiyo michuano kwa stesheni za Bongo?
Angalia ZBC2 mkuu, wanarushaza bongo hawaonyeshi.
Ila nyinyi wakenya acheni roho hizo za kitumwa wazungu wakionyesha Kenya kwenye media zao wanaonyesha kuhusu njaa na nzige na makazi yenu duni ya pale kibera halafu nyinyi mnajikuta mnawafagilia sana huo ni utumwa
kenya niwanafiki na watu wa kujipendekeza kupita maelezo, wakenya siyo watu kabisa, namshukuru Mungu Tanzania imeeanza kuyafahamu maovu yao.Dah! Hawa ndugu zetu sijui nani kawaloga yahani wanaonyesha live kuapishwa kwa raisi wa marekani
Hivi VOA walishawai kuonyesha live kuapishwa kwa raisi wa Kenya but anyways i hope hata kuapishwa kwa rais wa Uganda mtaonyesha live
Nakumbuka wakati ule Obama alichaguliwa The Republic of Kenyatta walifabya public holiday, Halafu wamarekani wenyewe hata hawakufanya public Holiday,Hadi pale mtakapoweza kutenganisha utaifa na rangi ya ngozi/asili ya watu husika ndio upumbavu na ushamba utakuwa umewatoka akilini. Hivi aliyeapishwa jana kama makamu wa rais, Kamala Harris, mtamuita beberu, mwafrika, mhindi au mmarekani? Sio kila jambo la nchi ya Marekani linahusu mzungu, acheni ushamba. Asilimia kubwa ya waliowapigia kura Biden/Harris ni watu weusi. Watu wakitizama hafla ya kuapishwa kwa Biden wanafatilia matukio ya nchi ya Marekani sio wazungu, waafrika, wahindi n.k, n.k. Stesheni za Tv nazo zinawapa watazamaji wao kile ambacho wanataka. Hafla yenyewe ilirushwa live na media zote za kutajika, CNN, BBC, France24 ya mfaransa, NHK World ya mjapani, CGTN ya mchina hadi na Aljazeera ya muarabu. Alafu jombaa mbona usitizame CHAN kwenye stesheni yenu pendwa TBC kama nyie ndio mnajitambua zaidi? Mbona unakosa uzalendo wa kutazama taarabu 24/7 kama ambavyo serikali yako imekupangia? Unafata nini kwenye michuano ya CHAN na KBC wakati kuna content za kutazama ambazo ni za kitanzania kwa 100%?
halafu obama akawa na state visit to Tanzania before kenya. wajaluo wanabaguliwa sana kenya, mjaluo akiwa raisi wa marekani anaonekana wa maana, ukabila ni upumbavu usiokuwa na kipimo. POOR KENYANSNakumbuka wakati ule Obama alichaguliwa The Republic of Kenyatta walifabya public holiday, Halafu wamarekani wenyewe hata hawakufanya public Holiday,
Hapo nilijua Wakenya ni Kamasi tupu vichwani.
halafu obama akawa na state visit to Tanzania before kenya. wajaluo wanabaguliwa sana kenya, mjaluo akiwa raisi wa marekani anaonekana wa maana, ukabila ni upumbavu usiokuwa na kipimo. POOR KENYANS
Kama za bongo hawaonyeshi then tell them to do better. Wacha kulialia.za bongo hawaonyeshi.
Ila nyinyi wakenya acheni roho hizo za kitumwa wazungu wakionyesha Kenya kwenye media zao wanaonyesha kuhusu njaa na nzige na makazi yenu duni ya pale kibera halafu nyinyi mnajikuta mnawafagilia sana huo ni utumwa
Usichokijua miongoni mwa mambo yaliyokufanya uache kuangalia Tv za Tz na kuangalia KBC ni uonyeshaji wao wa matukio kama hayo. Wewe ndio ume-failDah! Hawa ndugu zetu sijui nani kawaloga yahani wanaonyesha live kuapishwa kwa raisi wa marekani
Hivi VOA walishawai kuonyesha live kuapishwa kwa raisi wa Kenya but anyways i hope hata kuapishwa kwa rais wa Uganda mtaonyesha live
Huku umejiita CARIFONIA tena kwa herufi kubwa. Umeacha kujiita MTOGOLE au CHATO. Nimeamini Kweli nyani haoni kunduleDah! Hawa ndugu zetu sijui nani kawaloga yahani wanaonyesha live kuapishwa kwa raisi wa marekani
Hivi VOA walishawai kuonyesha live kuapishwa kwa raisi wa Kenya but anyways i hope hata kuapishwa kwa rais wa Uganda mtaonyesha live