DERRICK MALIMA MBAKU
Member
- Dec 18, 2018
- 12
- 6
MADEREVA WA MAGARI MAKUBWA (NAFASI 2)
CIWAYE TRADING COMPANY Limited ni kampuni inayouhusika na usafirishaji wa mizigo tofauti ndani ya nchi.
CIWAYE TRADING COMPANY Limited inahitaji madereva wenye WELEDI, USOEFU NA UADILIFU wa hali ya juu usiotiliwa shaka na mtu au taasisi yoyote ndani na nje ya nchi.
Waombaji wa nafasi hizi wanatakiwa kuwa na vigezo vifuatavyo wakizingatia vigezo vikuu vilivyotajwa hapa chini;
Umri usiopungua miaka 25 na usiozidi miaka 45
Elimu ya kidato cha nne na kuendelea
Cheti cha ujuzi wa udereva wa magari kinachotambulika na police Tanzania pamoja na wasimamizi wengine wote
Cheti kinachomruhusu dereva kubeba mizigo na bidhaa mbalimbali kwa malori
Barua ya uhakiki alama za vidole kutoka polisi
Afya inayostahimili safari zote za ndani ya nchi
Uwezo wa kusoma na kuandika kwa ufasaha
Uzoefu wa kuendesha magari makubwa usiopunuga miaka mitano
Leseni ya udereva yenye sifa ya kuendesha magari makubwa
Awe na uwezo wa kuendesha gari za aina zote ikiwemo malori yenye mfumo wa left hand au right hand
Maombi yote yaletwe ofisini kwetu kuanzia tarehe 26-07-2025 hadi 3-08-2025 kwa njia ya mkono na kukabidhiwa kwa wasimamizi wetu wenye namba hizi +255717148330 /0716896929.
Ofisi zetu zipo Sokota mkabala na sheli ya PUMA, Temeke-Dar es salaam. Maombi yote yaelekezwe kwa anuani hii
CIWAYE TRADING COMPANY LIMITED,
P.O.BOX 2717 DODOMA.
CIWAYE TRADING COMPANY Limited ni kampuni inayouhusika na usafirishaji wa mizigo tofauti ndani ya nchi.
CIWAYE TRADING COMPANY Limited inahitaji madereva wenye WELEDI, USOEFU NA UADILIFU wa hali ya juu usiotiliwa shaka na mtu au taasisi yoyote ndani na nje ya nchi.
Waombaji wa nafasi hizi wanatakiwa kuwa na vigezo vifuatavyo wakizingatia vigezo vikuu vilivyotajwa hapa chini;
Umri usiopungua miaka 25 na usiozidi miaka 45
Elimu ya kidato cha nne na kuendelea
Cheti cha ujuzi wa udereva wa magari kinachotambulika na police Tanzania pamoja na wasimamizi wengine wote
Cheti kinachomruhusu dereva kubeba mizigo na bidhaa mbalimbali kwa malori
Barua ya uhakiki alama za vidole kutoka polisi
Afya inayostahimili safari zote za ndani ya nchi
Uwezo wa kusoma na kuandika kwa ufasaha
Uzoefu wa kuendesha magari makubwa usiopunuga miaka mitano
Leseni ya udereva yenye sifa ya kuendesha magari makubwa
Awe na uwezo wa kuendesha gari za aina zote ikiwemo malori yenye mfumo wa left hand au right hand
Maombi yote yaletwe ofisini kwetu kuanzia tarehe 26-07-2025 hadi 3-08-2025 kwa njia ya mkono na kukabidhiwa kwa wasimamizi wetu wenye namba hizi +255717148330 /0716896929.
Ofisi zetu zipo Sokota mkabala na sheli ya PUMA, Temeke-Dar es salaam. Maombi yote yaelekezwe kwa anuani hii
CIWAYE TRADING COMPANY LIMITED,
P.O.BOX 2717 DODOMA.