Kazi za afisa Ugavi kupitia MDA & LGA's

Kazi za afisa Ugavi kupitia MDA & LGA's

Hans Michael Tesha

New Member
Joined
Sep 5, 2014
Posts
3
Reaction score
1
Habari wanajamii.
Natumaini wote wazima.
Hivi zile kazi za afisa ugavi 340 za mwaka jana agosti naomba kuulizia hivi nafasi zote zimeshapangiwa kwa waliofaulu??
 
Habari wanajamii.
Natumaini wote wazima.
Hivi zile kazi za afisa ugavi 340 za mwaka jana agosti naomba kuulizia hivi nafasi zote zimeshapangiwa kwa waliofaulu??
nasikia wanachomoa mmoja, wawili au watatu kwa wiki..waliofaulu na waliofeli wote hawajui..unapewa taarifa leo kesho mkeka unatoka.
 
nasikia wanachomoa mmoja, wawili au watatu kwa wiki..waliofaulu na waliofeli wote hawajui..unapewa taarifa leo kesho mkeka unatoka.
hii inawezekana kweli maana ukifuatilia mkeka iliotoka na nafasi za afisa ugavi tokea mwanzoni mwaka huu baada ya oral hawafiki hata 200. Daah nchi hii sijui tunaelekea wapi
 
Back
Top Bottom