Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,927
- 13,011
Thibitisha kwa mchoro au picha
hadi nipate ruhusa toka kwa tangopori!! si umeona anaulzwa maswali reginahope anajibu imma.
Thibitisha kwa mchoro au picha
Kwa hiyo unataka mafanikio ya siku moja...haya kila la kheri...
Wenzako kwa mtaji kama huo sasa hivi ni mabilionea...
... just jokin
....Hiyo 20m Niipate mimi mtoto wa mujini ningekua kwenye jukwaa hili?!.
Ungekua unanisoma kwenye jukwa la business na matangazo madogomado jioni niko MMU.
Nikifurahi wk end naku :cell: waleeee.
hadi nipate ruhusa toka kwa tangopori!! si umeona anaulzwa maswali reginahope anajibu imma.
ukinunua kazi lazima hutakuwa mwadilifu kazini, hasa kwenye ubadhilifu na ufisadi