Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,927
- 13,011
unahitaji course elekezi ndo utanielewa
hata sihitaji hyo course. Mwanaume kujiita jina la kike ni ulofa. Ndo maana hupati kazi. Badilika bro kuwa mwanaume kuanzia tabia hadi matendo.
unahitaji course elekezi ndo utanielewa
Punguza ukali wa maneno, pengine unayemkoromea ni HR... utapataje kazi sasa, mbona amekuuliza kitu cha msingi kwanini unatumia jina la kike akati we wa kiumeni.. badala ya kujibu unakoroma....acha ushamba wangapi huku jukwaani wanatumia majina yao halisi. usiwe mvivu wa kufikiri. kweni anayejiita nyani ni nyani kweli.. mijitu mingine sijui vipi
Vipi polisi?unataka
Nina 10m na mimi nataka niuziwe hizo kazi
nitatoa 20mil zikiwa mbili mimi moja na mpenzi wangu moja..
:bored:
Kuna jamaa anajiita nyani anatabia za kinyaninyani vip we kuusu regina?acha ushamba wangapi huku jukwaani wanatumia majina yao halisi. usiwe mvivu wa kufikiri. kweni anayejiita nyani ni nyani kweli.. mijitu mingine sijui vipi
Unataka upolisi?
graduate b.com in materials management npo singida umri 28yrs male
Nina 10m na mimi nataka niuziwe hizo kazi
nitatoa 20mil zikiwa mbili mimi moja na mpenzi wangu moja..
:bored:
hata sihitaji hyo course. Mwanaume kujiita jina la kike ni ulofa. Ndo maana hupati kazi. Badilika bro kuwa mwanaume kuanzia tabia hadi matendo.
habarini wanajf.jamani binafsi sina amani kutokana na kutokuwa na kazi mda mrefu. hivyo niko tayari hata kununus kazi. kazi zimekuwa ngumu sn hasa kama hauna mtu unayemfahamu katika system. kwa anayeweza kunisaidia kwa hili nipo tayari kumpa pesa safi cha msingi nitimize ndoto yangu ya kuajiriwa. kwa aliye tayari naomba anipm
we mwanaume then unajiita regina?
Sasa hizo pesa si bora mkafungua biashara kwani lazima kuajiliwa...
Hizo 20mil ningepata mimi mwe kweli kwwnye miti hakuna wajenzi...
Fungueni biashara acheni masihara..
are yo from corleone family nigga?
Kuna kazi Hiyo hela inpatakana tena kwa siku moja tu.
acha ushamba wangapi huku jukwaani wanatumia majina yao halisi. usiwe mvivu wa kufikiri. kweni anayejiita nyani ni nyani kweli.. mijitu mingine sijui vipi
Imma na regina hope ni mtu mmoja.