Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,924
- 61,707
Kweli wapo, ila ni vigumu kuaminika kwa mtejaKuna fundi maiko kibao mtaani na wanajenga hadi ghorofa!😛!
Msiharibu majina yetuKuna fundi maiko kibao mtaani na wanajenga hadi ghorofa!😛!
Vipi mkuu huitaji bodaboda kumzungusha marketing manager around? Mie nipe chai na msosi tuu mafuta juu yangu. Sharti marketer awe mwanamkeNina wazo la kuanzisha kampuni ndogo ya ujenzi, ambayo timu yake itakuwa hivi:-
Architecture - 1 Quantity surveyor - 1 Marketing - 1Kwa kuwa kampuni itakuwa bado ni changa, haitaweza kulipa mishahara kwa hao wataalamu, lakini itakuwa na uwezo wa kuwapatia chai na chakula cha mchana tu, ndani ya miezi sita.
Baada ya soko kuitikia, ndio tutaanza kupata mapato (mishahara).
Kwa wale wenye hiyo fani na wana nia kweli, njoo hapa jukwaani tujadili.
Ha ha ha haVipi mkuu huitaji bodaboda kumzungusha marketing manager around? Mie nipe chai na msosi tuu mafuta juu yangu. Sharti marketer awe mwanamke
Ni kweli, ila lengo ni kutaka kuonyesha dunia tunaweza kufanya nini, ili masoko yapatikane.Wazo zuri ila kwa mafundi wetu hawa sio rahisi kujitolea nusu mwaka bila malipo
Mambo vipi fundi "Koima"?Msiharibu majina yetu
Kuaminika nini? Hao mainjinia wanaanza kukupigia mahesabu ya feasibility study, sijui viprogram vya computer animation and transition sijui kupima udogo sijui ratio ya udongo mchanga na maji brahbrah nyingi na hela ndefu ataanza kukupigia sijui "unajua nyumba yako kubwa ina vyuma brahbrsh kila chumba laki 3 mara jumla ya vyumba mxiuuuuuh! @&#$?£&#! Lakini ukimleta fundi maiko hata kama huna ramani ukamwambia kwa maneno ana jua chumba urefu na upana na wima, mnaelewana kesho wanatia timu na vibarua wa uswazi chakula ugali maharage mwiko ni kipande cha mti maji ya kunywa ya visima siku mbili kitu kinaonekana! Hawanaga mambo mengi fundi maiko! Mainjinia tafuteni kazi nyingine maana fundi maiko ndo tulionao kitaa kama mchina na TrumpKweli wapo, ila ni vigumu kuaminika kwa mteja
Wazo zuri. Hii hao ni co founder wenzako.. inabidi kuwapa shareNina wazo la kuanzisha kampuni ndogo ya ujenzi, ambayo timu yake itakuwa hivi:-
Architecture - 1 Quantity surveyor - 1 Marketing - 1Kwa kuwa kampuni itakuwa bado ni changa, haitaweza kulipa mishahara kwa hao wataalamu, lakini itakuwa na uwezo wa kuwapatia chai na chakula cha mchana tu, ndani ya miezi sita.
Baada ya soko kuitikia, ndio tutaanza kupata mapato (mishahara).
Kwa wale wenye hiyo fani na wana nia kweli, njoo hapa jukwaani tujadili.
Kwenye nyumba binafsi inawezekanaKuaminika nini? Hao mainjinia wanaanza kukupigia mahesabu ya feasibility study, sijui viprogram vya computer animation and transition sijui kupima udogo sijui ratio ya udongo mchanga na maji brahbrah nyingi na hela ndefu ataanza kukupigia sijui "unajua nyumba yako kubwa ina vyuma brahbrsh kila chumba laki 3 mara jumla ya vyumba mxiuuuuuh! @&#$?£&#! Lakini ukimleta fundi maiko hata kama huna ramani ukamwambia kwa maneno ana jua chumba urefu na upana na wima, mnaelewana kesho wanatia timu na vibarua wa uswazi chakula ugali maharage mwiko ni kipande cha mti maji ya kunywa ya visima siku mbili kitu kinaonekana! Hawanaga mambo mengi fundi maiko! Mainjinia tafuteni kazi nyingine maana fundi maiko ndo tulionao kitaa kama mchina na Trump
ata kwambia nawapa mshahara 😄Wazo zuri. Hii hao ni co founder wenzako.. inabidi kuwapa share
Kwa asilimia fulani ni muhimu wawe na shareWazo zuri. Hii hao ni co founder wenzako.. inabidi kuwapa share
haijakaa sawa, unaanza na watu sifuri. Alafu Ukitoboa uwape mshahara badala ya share.. kwangu binafsi naona haipo sawaata kwambia nawapa mshahara 😄
sio Kwa kiasi fulani, sema ni lazima iki tokea mme fanya kazi 2-3Kwa asilimia fulani ni muhimu wawe na share
Unapo anza na mtu Hadi mkanayuka heshimu mchango wake na uwepo wake. Unaweza ukala asilimia kadhaa nao ukawapa asilimia kadhaa na zingine mkaziweka pending Incase muwekezaji nikijisikia kujaKwa asilimia fulani ni muhimu wawe na share
ata kwambia nawapa mshahara 😄
Kwamba aache mambo ya kasongosio Kwa kiasi fulani, sema ni lazima iki tokea mmfenya kazi 2-3