Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,586
- 4,274
Wana Jf
Nimekuwa nikiambiwa kuwa wenzetu wa Nchi zilizoendelea mtu anaweza kufanya kazi part time online (with simple condition kuwa, awe na reliable source of internet)
Mimi nimesoma masomo ya biashara (Business studies) na nahisi ninakuwa na muda mwingi -jioni ambao nahisi naweza kuutumia kwa faida. Kama kuna mtu ana faham au anafaham website ambayo naweza kufuatilia..Tafadhali nijulishe...(unaweza kuni pm au namna nyingine unayo ona rahisi kwako)
Najua websites nyingi ni za matapeli ndio sababu nimeomba ushauri kwa aneyefaham na mwenye nia njema
Nimekuwa nikiambiwa kuwa wenzetu wa Nchi zilizoendelea mtu anaweza kufanya kazi part time online (with simple condition kuwa, awe na reliable source of internet)
Mimi nimesoma masomo ya biashara (Business studies) na nahisi ninakuwa na muda mwingi -jioni ambao nahisi naweza kuutumia kwa faida. Kama kuna mtu ana faham au anafaham website ambayo naweza kufuatilia..Tafadhali nijulishe...(unaweza kuni pm au namna nyingine unayo ona rahisi kwako)
Najua websites nyingi ni za matapeli ndio sababu nimeomba ushauri kwa aneyefaham na mwenye nia njema