Kazi ya jeshi lazima ugangamare

eh makubwa hayo kina dada tena wakati picha inaonyesha tu kuwa hao ni madume!!!! hii picha imeniacha hooi yaelekea hao wamezoea kuguswaguswa maeneo hayo nyeti thats why wameamua kuyakalia marungu ili angalau wapate stimuu! balaaaa:confused:

hii picha kama sikosei itakuwa imepigwa Tanga au hata Mombasa!!!
 
Hivi hapo wameweka rungu kwenye kalio moja au katikati ya makalio? Teh teh teh!
tehe tehe wameka kwenye kalio moja likiuma wanahamishi lingine kama wanataka kuweka katikati ya makalio juu anaweka box basi anakuwa kama amekaa kwenye kiti. teh teh.
 
Mmmh!, kwa zoezi hili jeshi si lelemama hata kama ni mgambo.


jeshi.jpg


Hawa ni Janjaweed waliokuwa wakitupiga.
 
Du! ivi hawaogopi kuwa marungu hayo yanaweza kuzama ndani kwa namna walivyo yakalia. hatari hiyo.....
 
Back
Top Bottom