kindili kindili
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 242
- 54
Wapendwa huu ubalozi wametangaza kazi ziko kwenye website yao, naweza pata miongozo kabla ya kuomba? wana maelezo mengi sana, kuna mtu anaweza kutupa ufupisho, kama CV page ngapi na ile nyingne ni separate sheet au inaambatanishwa(ile inayotoa maelezo sec 3A).
Msaada jamani, mi ata kuitwa tu itamaanisha sana kwangu, nataka kuomba voucher examinar.
Msaada jamani, mi ata kuitwa tu itamaanisha sana kwangu, nataka kuomba voucher examinar.