Kazi part time

Kazi part time

MarkD

Member
Joined
Jan 10, 2012
Posts
73
Reaction score
43
Habari,
Kampuni ya MICROF LTD ina nafasi NNE (4) za kazi ya muda kwa graduate yeyote. Kazi hii ni ya ofisini kuanzia leo tarehe 5 Septemba 2017.

Malipo kwa siku ni Tsh. 10,000 Utapata chai asubuhi na chakula cha mchana bure. Kazi inaanza saa 2:30 asubuhi hadi sass 10:00 jioni kila siku. Tupo Kinondoni "B" karibu na Hospital ya Kinondoni kuna Jengo la Ghorofa limejengwa kwa tofauli za choma.

Tupo ghorofa ya 3 ofisi nambari 148. Karibu hata leo alie tayari anaweza kufika kuanza. Mfumo wa anayefika wa kwanza ndiyo atakuwa wa kwanza kupata nafasi kati ya hizo nne (4) utatumika.
Nambari zetu za Ofisi ni: 0718 508 927 and +255 688 362 601
 
Habari,
Kampuni ya MICROF LTD ina nafasi NNE (4) za kazi ya muda kwa graduate yeyote. Kazi hii ni ya ofisini kuanzia leo tarehe 5 Septemba 2017. Malipo kwa siku ni Tsh. 10,000 Utapata chai asubuhi na chakula cha mchana bure. Kazi inaanza saa 2:30 asubuhi hadi sass 10:00 jioni kila siku. Tupo Kinondoni "B" karibu na Hospital ya Kinondoni kuna Jengo la Ghorofa limejengwa kwa tofauli za choma. tupo oghorofa ya 3 ofisi nambari 148. Karibu hata leo alie tayari anaweza kufika kuanza. Mfumo wa anayefika wa kwanza ndiyo atakuwa wa kwanza kupata nafasi kati ya hizo nne (4) utatumika.
Nambari zetu za Ofisi ni: 0718 508 927 and +255 688 362 601
Acheni utapeli!
 
Hii Ni Njia ya Kujitangaza Nafikiri ili Watu wafike hapo.

Partime inaanza saa mbili hadi saa 10?
 
Ukifuatilia nyuzi zake za nyuma huyu bwana ni tapeli na laghai..Anakufanyisha kazi baada ya muda anakutimua bila mshahara na ana kesi mahakamani

Pitieni nyuzi zake za nyuma yeye anatangaza kazi kila siku
 
Pesa ilivyopotea mtaa ni afisa mikopo ni Audi mamba moja kitaa
 
Habari,
Kampuni ya MICROF LTD ina nafasi NNE (4) za kazi ya muda kwa graduate yeyote. Kazi hii ni ya ofisini kuanzia leo tarehe 5 Septemba 2017.

Malipo kwa siku ni Tsh. 10,000 Utapata chai asubuhi na chakula cha mchana bure. Kazi inaanza saa 2:30 asubuhi hadi sass 10:00 jioni kila siku. Tupo Kinondoni "B" karibu na Hospital ya Kinondoni kuna Jengo la Ghorofa limejengwa kwa tofauli za choma.

Tupo ghorofa ya 3 ofisi nambari 148. Karibu hata leo alie tayari anaweza kufika kuanza. Mfumo wa anayefika wa kwanza ndiyo atakuwa wa kwanza kupata nafasi kati ya hizo nne (4) utatumika.
Nambari zetu za Ofisi ni: 0718 508 927 and +255 688 362 601
Matapeli HAWA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani hajui jina la jengo ambalo ofisi yao ipo. Maajab kweli... Hakuna ghorofa la biashara lisilo na jina. Utapeli huu

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app

 
Back
Top Bottom