Kazi nzito na nyepesi aliyonayo Tundu Lissu

Ndoto ndio kitu pekee kila MTU anaweza kuota hata akiwa katika mazingira yasiyoelezeka katika hali ya kawaida....

Tanzania ndio nchi pekee ambayo wananchi wake hawajawahi kujua wanahitaji kiongozi Wa aina gani na hivyo kuwapa fursa wajasiriamali Wa kisiasa kufanya lolote kwani nyuma kuna wafuata upepo na wafuasi wasioweza kujielewa mithili ya nyumbu wakihama kutoka Masai Mara kuelekea Serengeti...
Ni rahisi sana kumtawala mtanzania na kumwendesha kadri ya matakwa ya mtawala huyo kwani hisia na mihemko huongoza akili ya mwananchi kuliko uhalisia wa mambo anayoyahitaji.
Tuendelee kucheza ngoma za wanasiasa mpaka tutakapojaaliwa kujitambua.
 
Nachoamini ni kwamba kizazi cha 1992 kikifikia idadi ya watu milioni 4 Kitakitoa CCM MADARAKANI, wala sio kwa kuambiwa ,kushawishiwa na watu bali wenyewe wataamua huenda ni miaka 40 ijayo ila CCM ITAPOTEA NA ITAKUFA ...KIZAZI CHA SASA CHA CCM KILE KIZURI KINAPOTEZA LADHA ,chuki ,hasira ,uhasama umezidi,,,nini kitasababisha CCM ichukiwe, jibu ni moha tu ,ni ukosefu wa ajira ...
 
Hivi mtu anawezaje kukaa na kuorodhesha pumba nyingi hivi? 😂😂😂😂

Huko YouTube mbona wa Tanzania wanamchukia hivyo kama kifo, zee la kukameroon 😂😂😂😂
 
😂😂😂 Una maanisha wakina RC Hapi? JPM kawazidi kete, kajaza vijana kila kona na kuifanya CCM iwe na mvuto kwa vijana
 
Taperi wa kodi za wananchi hana lolote aende kutaperi Acacia na Barrick
 
Lisu niJoshua aliyewavusha wana waisraeli kufika nchi ya ahadi,anaweza kuwa na mapungufu yake ya kibinadamu maana sio malaika lakini ana uwezo mkubwa kuongoza nchi hii kuliko huyu anauependa sifa tu,anayeshindwa kutofautisha kati ya serikali na yeye kama yeye,anatumia pesa za walipa kodi kujitakia umaarufu Wa kishamba
 
 
...natamka haya chini.
.....Lissu anafaa kuwa mwanasheria na mwanaharakati kama alivyo sio kuwa rais wa watu

anyway-ni maoni yangu
Kama ambavyo jiwe alifaa kuwa kiranja wa miundombinu na siyo rais wa nchi.
 
Well said
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…