Binafsi naongea kila siku na narudia tena leo:; maadam tu Mungu amenusuru u mauti wa huyu mh TL amini nawaeleza anakwenda kuwa mtu muhimu sana ktk nchi hii muda wowote na Dunia itasimama na nawahakikishia siku yaja watesi wafanye wawezavyo kamwe hawawezi kukinzana na nguvu ya Mwenyezi maana ndie alieamua TL apone atimize unabii wake.. Anaebisha na abishe ila note my word na uzi huu utunzwe kama marejereo muhimu