Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,968
- 727
Jamani,
Nimekuwa nikiangalia picha kadhaa tangu zile za Loliondo hadi hii ya Tabora. Nimeona askari wetu ambao ni binadamu kama sisi wakienda kupata vikombe wakiwa kwenye magwanda. Swali, je hawa askari wanatumia magwanda kupata short-cut wasisimame kwenye foleni, au wakishapata vikombe wanaendelea kuangalia usalama wa raia? Utaona hapo kuna askari wangapi vile.........!!
Nawakilisha.
Nimekuwa nikiangalia picha kadhaa tangu zile za Loliondo hadi hii ya Tabora. Nimeona askari wetu ambao ni binadamu kama sisi wakienda kupata vikombe wakiwa kwenye magwanda. Swali, je hawa askari wanatumia magwanda kupata short-cut wasisimame kwenye foleni, au wakishapata vikombe wanaendelea kuangalia usalama wa raia? Utaona hapo kuna askari wangapi vile.........!!
Nawakilisha.