nzedanze
Member
- Jul 13, 2011
- 44
- 1
Jamani wadau naomba kuuliza hivi hawa jamaa wa mgodini hua wako serious?...maana mwaka jana walitoa nafasi za kutrain watu chaajabu waliita watu kwenye interview ila hawakuchukua hata mtu mmoja kwa upande wa Engineering mama (I mean Electrical,mechanical& Civil),cha ajabu naona wameshatoa tena tangazo wanataka watu sasa nashindwa kuelewa tatizo nn?...mwenye ufahamu muzuri kuhusu hilo naomba atudadafulie hapa Jamvini.
Pil Hivi wakishakuchukua kwenye hiyo program ndo wanakuajili kabisaa au itategemea na performance yako after Training?
Pil Hivi wakishakuchukua kwenye hiyo program ndo wanakuajili kabisaa au itategemea na performance yako after Training?