jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,602
- 3,781
ha ha ha ah pokea like.........loading error............CEL code P108! Ni mimoshi tu na bad milage!
ha ha ha ah pokea like.........loading error............CEL code P108! Ni mimoshi tu na bad milage!
Kwani ma boyz hakuna? Au mother apo single? Tujue
Mkuu huu undishi wako una utata
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwanini?
Natafuta mwanamke yeyote mwenye uwezo wa kuendeshagari na awe na leseni.
Mawasiliano haya:
0655351478/0766351478
abdulnasoro78@gmail.com.
Vigezo na mashart kuzingatiwa..
ulikuwa club bado
Gari sioyanguniyabimkubwa.umriumeenda anaitaji kuendeshwa.
Mkuu kwanini mwanamke?Natafuta mwanamke yeyote mwenye uwezo wa kuendeshagari na awe na leseni. Mawasiliano haya:0655351478/0766351478 abdulnasoro78@gmail.com.Vigezo na mashart kuzingatiwa..
kuna ubaya akiendeshwa na mwali wake?
unahisi watu wote hulala club kama wewe?
Hapana hakuna ubaya.ila namininabiasharazangu.anaweza kuzisimamia.
hapo safi,ila nna mashaka na uraia wako!
hahahahaha watu mna maneno..hahahaha sema laki mbili na nusu .....duuuh gari napaki kwenu afu nachukua daladala sio, muda wa kufika mzigoni sa ngapi?na kutoka sa ngapi