diploma in mechanical engineering inaweza kumlipa akiwa mvumilivu, ila kama umri bado ni mdogo ajitahidi kuomba kazi kama trainee kwenye international companies infuture akipata uzoefu anaweza kupiga hela sana, ajaribu pia in aviation industry kama auric air, precision air,coastal air wanachukua vijana kama yeye kuwa aicraft trainee tech au eng. pia ajifunze kuwa faster kuangalia makampuni ya migodini na contractors wake maana si kweli huko GPA haziangaliwi ni uwezo wake wa kujieleza na kujibu maswali and from there he can get more experience.
Kama uchumi wa familia uko vizuri mmpelekeni nje akasome oil and gas, marine engineering ,aicraft engineering au pilot course.
Mechanical engineering ni field ambayo haidanganyi ni suala la muda tu kwake na kujitambua.