Kazi kwa aliyesoma Journalism

Kazi kwa aliyesoma Journalism

leo.leo

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2013
Posts
408
Reaction score
217
Kuna kampuni inataraji kusajili jarida hivi karibuni litalohusiana na watoto.

Kuna nafasi 4 zinatakiwa kujazwa kwa mtu mwenye Certificate ama Diploma ya Journalism / Mass Communication kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.

Mwenye kuhitaji kazi hii atume CV na nakala ya Cheti chake kwa mail hii rmassawe12@gmail.com
 
sijasoma journalism,nmesoma shahada ya kiswahili,ambapo nmesomea kozi ya uhariri na uandishi(advanced writing&,editing) wa matini,pia kozi ya fasihi ya watoto(children literature),,,,, vp hapo nnaweza kutuma apps,au kwa waliosoma journalism tuuu????
 
sijasoma journalism,nmesoma shahada ya kiswahili,ambapo nmesomea kozi ya uhariri na uandishi(advanced writing&,editing) wa matini,pia kozi ya fasihi ya watoto(children literature),,,,, vp hapo nnaweza kutuma apps,au kwa waliosoma journalism tuuu????

Sasa ndugu yangu utafanyaje kazi ikiwa hufahamu chochote juu ya vitu kama "News Values, Media Ethics and Laws" nk?
 
Mwenzangu wacha wao ndo watu judge ww na journalism yako mm na kiswahil changu,,,,,kama kwel wanaandaa jarida la watoto naiman hawawez kuacha wenye taaluma ya children literature,nina iman na prof mlokoz,nna iman na taaluma yangu,utunz wa riwaya,tamthiliya,ushair,uandish wa makala,majarida n.k,,,,hapa ndo kwake,watuite tu kwenye usail tukatunishiane misul huko.
 
Wacha kimbelembele. Haikuhusu. Uandishi nayo ni taaluma. Iheshimu. Wewe kawasimulie watoto hadithi za kale huko. Kila mtu sikuhizi anaongea kiswazi
 
Mwenzangu wacha wao ndo watu judge ww na journalism yako mm na kiswahil changu,,,,,kama kwel wanaandaa jarida la watoto naiman hawawez kuacha wenye taaluma ya children literature,nina iman na prof mlokoz,nna iman na taaluma yangu,utunz wa riwaya,tamthiliya,ushair,uandish wa makala,majarida n.k,,,,hapa ndo kwake,watuite tu kwenye usail tukatunishiane misul huko.

Lazima uchaguliwe.
Hizo kozi hasa kwa jinsi zinavyofundishwa mpaka kuachieve pale TATAKI,
We' unafit sana zaidi ya maelezo.

Omba mkuu.
 
PSYCHOLINGUISTI naona umepanic,as msomi hutakiw kupanic kwa maneno ya jazba,jfunze kujenga hoja,mungu asaidie tukutane kwenye usail,umenhamasisha kutuma apps
 
PSYCHOLINGUISTI naona umepanic,as msomi hutakiw kupanic kwa maneno ya jazba,jfunze kujenga hoja,mungu asaidie tukutane kwenye usail,umenhamasisha kutuma apps

Naye kama anahitaji hiyo kazi atume maombi tu,
Anaweza kupata tu bila wasiwasi
 
Kuna kampuni inataraji kusajili jarida hivi karibuni litalohusiana na watoto.

Kuna nafasi 4 zinatakiwa kujazwa kwa mtu mwenye Certificate ama Diploma ya Journalism / Mass Communication kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali.

Mwenye kuhitaji kazi hii atume CV na nakala ya Cheti chake kwa mail hii rmassawe12@gmail.com

Mwisho wa kutuma maombi lin maana ndo nimeona taarifa hii.
 
Mwenzangu wacha wao ndo watu judge ww na journalism yako mm na kiswahil changu,,,,,kama kwel wanaandaa jarida la watoto naiman hawawez kuacha wenye taaluma ya children literature,nina iman na prof mlokoz,nna iman na taaluma yangu,utunz wa riwaya,tamthiliya,ushair,uandish wa makala,majarida n.k,,,,hapa ndo kwake,watuite tu kwenye usail tukatunishiane misul huko.

Ndugu weka mipango uje ufanye yako hacha dream za kuajiriwa pekee.
 
Back
Top Bottom