Kazi kazi kazi

Kazi kazi kazi

MLUGULU

Member
Joined
Apr 7, 2013
Posts
5
Reaction score
2
habari zenu wana jf wenzangu. Naitwa mgowela naishi morogoro. Nilimaliza advance diploma in accountancy pale t.i.a 2010. Nilikuwa na ajira ya muda kwa sasa kampuni imebadili shughuli hivyo tumepunguzwa kazi. Naombeni nisaidieni kupata kazi nyingine . Nitawalipa gharama za usumbufu 50,000/= kabla ya mwezi na laki moja mwisho wa mwezi.
 
habari zenu wana jf wenzangu. Naitwa mgowela naishi morogoro. Nilimaliza advance diploma in accountancy pale t.i.a 2010. Nilikuwa na ajira ya muda kwa sasa kampuni imebadili shughuli hivyo tumepunguzwa kazi. Naombeni nisaidieni kupata kazi nyingine . Nitawalipa gharama za usumbufu 50,000/= kabla ya mwezi na laki moja mwisho wa mwezi.

Hiyo 50,000 ni mtaji tosha iwapo utaamua kweli kujitoa, Elfu 50 inaweza badili kabisa maisha yako, Ila kwa sababu wewe mawazo yote yako kenye kazi that is why,

Mambo ya ajira ni magumu sana na that is why now days si mshauri mtu kwenda huko.hivyo komaa na 50 elfu yako one day utakuja kukubuka haya
 
Hiyo 50,000 ni mtaji tosha iwapo utaamua kweli kujitoa, Elfu 50 inaweza badili kabisa maisha yako, Ila kwa sababu wewe mawazo yote yako kenye kazi that is why,

Mambo ya ajira ni magumu sana na that is why now days si mshauri mtu kwenda huko.hivyo komaa na 50 elfu yako one day utakuja kukubuka haya


Fafanua mkuu, utasaidia wengi kwa njia hii.Ubarikiwe.
 
habari zenu wana jf wenzangu. Naitwa mgowela naishi morogoro. Nilimaliza advance diploma in accountancy pale t.i.a 2010. Nilikuwa na ajira ya muda kwa sasa kampuni imebadili shughuli hivyo tumepunguzwa kazi. Naombeni nisaidieni kupata kazi nyingine . Nitawalipa gharama za usumbufu 50,000/= kabla ya mwezi na laki moja mwisho wa mwezi.

ulitakiwa uwe na long-term plan wakati wa ajira yako ya muda inakwisha after 10 years to come utafanya nini so ungejibana ungepata ka mtaji ka maana ungejiajiri hata hivyo yo can do something with 50,000 kama mkuu Chasha alivyogusia japo inabidi akili itulie haswa.
 
Hiyo 50,000 ni mtaji tosha iwapo utaamua kweli kujitoa, Elfu 50 inaweza badili kabisa maisha yako, Ila kwa sababu wewe mawazo yote yako kenye kazi that is why,

Mambo ya ajira ni magumu sana na that is why now days si mshauri mtu kwenda huko.hivyo komaa na 50 elfu yako one day utakuja kukubuka haya

Yes, inawezekana.
 
Hiyo elfu 50 fanya kuuza ice cream utatoka kama bakhressa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom