pnk
Member
- Mar 24, 2015
- 55
- 18
Habari wana jukwaa,mimi ni mwanadada mwenye umri wa miaka 27 na nimesomea mambo ya ugavi na hivi sasa nimeajiriwa kama mgavi kwenye kampuni fulani kwa miaka 2 sasa,ila mimi kazi ya ugavi siipendi maana ilikuwa ni dream ya familia yangu na ndo walinishawishi nisome hii kozi,lakini mimi dream yangu ilikuwa kufanya kazi kama cabin crew yaani muhudum wa ndege,niliipenda hiyo kazi tangu nikiwa mdogo lakin wazazi walinizuia kwa kuwa waliidharau na walisema mhudum wa ndege ni kama bar maid,,,sina furaha kwenye kazi yangu hii natamani sana kufanya kazi ninayoipenda.Nimekuja kwenu wanajukwaa mnisaidie kupata kazi kama cabin crew kwenye ndege yoyote ile na niko tayari kuresign huku kwenye ugavi as soon as nikipata a job of my dreams,,,wanaojua nini maana ya kupenda proffession fulani wamenielewa,,asanteni na msaada wenu ni muhimu kwangu