hivi ishu kama hii wanatangaziaga wapi?? hata mimi ningependa kujua
kupima ukimwi cha mtoto mbaya zaidi mwanangu unaambiwa uvue nguo alafu unainama unamulikwa na tochi katikati ya makalio alafu unaambiwa kohoa ........dah mimi sikushauri uede jeshi ni unadhalilishwa na elimu yako na ukienda monduli ndo kabisa hamna kulala wiki sita unamwagiwa maji baridi ukilala ...wanajeshi wa mafunzo wanawakomoa sababu nyinyi mna degree....:bange:
kwa mnaojua kigezo cha umri kama una degree inakuwaje? mshahara unaendaje jeshini? kunatofauti ya malipo btn jkt and jwtz?
msaada
hapo knye msisitizo duh, inamaana wanajeshi wote waliangaliwa makalio? makamba, mwamunyange, shimbo, kikwete, chiligati etc