Siku hizi jeshi la polisi linaajiri vijana wanaomaliza form four,form six,wanaomaliza vyuoni na vijana wa jkt.Vijana wa mtaani siku hizi hawaajiriwi.Jeshi limekaa kibaguzi sana hili.Ajira zitatangazwa kuanzia mwezi wa tano.
Hao wa mtaani kwani elimu yao ni ipi? au ni mtaani?