Shamkware
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 1,755
- 2,303
Eeeh, na mm nina masters in Public Administration. Ila nimeamua kufundisha adults, Mungu anasaidia angalau.
Vip hakuna temple huko tuje tupige temple!
Eeeh, na mm nina masters in Public Administration. Ila nimeamua kufundisha adults, Mungu anasaidia angalau.
bachelor degree in public administration
Unaishi wapi?, utaweza kufanya kazi ya marketing?
najua,
Okay tutawasiliana, nitakuchek....najua jaman,mbona kimya?
Pole. Una taaluma gani????
Maana Mungu akijali hivi karibuni natarajia kufungua NGOinayohusiana na VIJANA NA wanawake (Bright-Light Youth & Women Development Organization- BLY&WDO) Hivyo una taaluma gani???
upo mkoa gan?
Aha kama kiingilishi cha mulogo.
Pole. Ulituma CV???
Kama hukutuma tuma sasa kwa bly.wdo@gmail.com
umetumia jina ganai kwenye mail yako?
fanya michakato mkuu binti yetu love peace asije akajiingiza buguruni usiku....I wish I could help you
Aha kama kiingilishi cha mulogo.
jamani niliwaomba wana jf mnisaidie kazi.bt taph,makandomende na wengneo mkanipa moyo wa kunisaidia.sasa mbona mmenyamaza tena jamani?...nna hali ngum mwenzenu!