Jaman member wa JF,maisha yamekuwa magumu sana kwangu.
Naomba hata mwenye kuniajiri hata kuuza duka,kuuza restaurant ,
Kazi yoyote halali niko tayar kufanya jaman.
Naomba msaada wenu wapendwa.
Jaman member wa JF,maisha yamekuwa magumu sana kwangu.
Naomba hata mwenye kuniajiri hata kuuza duka,kuuza restaurant ,
Kazi yoyote halali niko tayar kufanya jaman.
Naomba msaada wenu wapendwa.
Ungekuwa mwaminifu ungesimamia Hoteli yangu ambayo ni Hoteli ya kawaida.
Nina kamradi kaufugaji wa kuku wa kienyeji zipo kama 1,000 so naweza kukuajiri kama mhudumiaji but yupo na mwenzako.
bachelor degree in public administration
Inaelekea uko so desperate! pole sana. Uko mkoa gani/unaishi wapi? Aidha nunua daily news ya 6/3 au mwananchi ya 7/3 NIMR wametangaza kazi na wanatafuta mtu wa professional yako.