Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,205
- 4,695
Tuliahidi & Tumetekeleza
Madawa yapo mengi tu.magonjwa yetu makuu yanayotusumbua yanajulikana ni malaria.u.t.i na typhod.Msisahau na madawa maana majengo siyo issue sana
Changamoto madawa wazeeee
Ova
Kwa kweli MZEE Magu kwenye ishu ya huduma za kijamii yupo vizuri,maana nimeona Vituo vingi vya afya vipo ktk hali nzuri sana,bila kusahau Mashule,barabara,Huduma za umeme,maji.n.k.
Tujifunze kupongeza yanapofanyika mazuri,na yakifanyika mabaya tukosoe pia.Hii hata mchizi mox na Irinre uwoya wakiwa Rais wanaweza kujenga
OkkkkkkkkkMadawa yapo mengi tu.magonjwa yetu makuu yanayotusumbua yanajulikana ni malaria.u.t.i na typhod.
kama kuna mengine nje ya hayo dawazipo na watu wanatumia na wanapona vizuri tu.
Hapo iko juu ya magogo ya round kama nguzo za umeme, kwahiyo ni kufyatua tu kitu kinabimbirika majiniIvi uwa wanabebea nn kuingiza kwenye maji