Mtu haouko addicted na pombe kazi yako iko vizuri na hakuna lawama Wala malalamiko yoyote kwa unaowahudumia lakini BOSS WAKO anakuambia chagua moja moja kazi au uende rehab?
Mtu haouko addicted na pombe kazi yako iko vizuri na hakuna lawama Wala malalamiko yoyote kwa unaowahudumia lakini BOSS WAKO anakuambia chagua moja moja kazi au uende rehab?
Msikilize, wakati mwingine maisha ni Kama mpira wa miguu, wakati wewe unadhani ukipiga cross itafaa, wa nje wanaona ukimpa mwenzio pass angemalizia vizuri....msikilize.