Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,575
- 3,106
Kuna kauli nyingi ambazo wakati wa muingiliano Huwa zinakera.Nachosikitika ni kuwa wanawake ndyo wanakuwa vinara wa hizi kauli Mbaya.Zinaweza zikawa kauli za kweli lakini zinawasilishwa Kwa njia Mbaya .Hizi ni baadhi ya orodha Fanya kauli ambazo ukiambiwa na Mwanamke zinaweza zikakukata stimu na usitake kuendelea na faragha:
1 Unaniumiza Bwana
2 We nawe kwani humalizi maliza basi
3 Fanya haraka nimechoka
4 Usinishike hapo
5 Hivi wewe ni Mwanaume kweli
Ni kauli nyingi Sana wanazotoa za kuonyesha dharau na kutukana.
Chamsingi maliza haja zako sekunde kadhaa tembea maana hizo kauli haziishagi.
1 Unaniumiza Bwana
2 We nawe kwani humalizi maliza basi
3 Fanya haraka nimechoka
4 Usinishike hapo
5 Hivi wewe ni Mwanaume kweli
Ni kauli nyingi Sana wanazotoa za kuonyesha dharau na kutukana.
Chamsingi maliza haja zako sekunde kadhaa tembea maana hizo kauli haziishagi.
