Mpitagwa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2012
- 2,339
- 1,119
wanaJF, embu nipeni mawazo, hawa jamaa ni timu mmoja au wanatuchanganya? Wakati rais amesikika katika redio mbao akisema kuwa angependa rais ajae awe mdogo kiumri kuliko yeye. Sitta ambaye anaonekana hata kwa macho tu kuwa ni mzee kuliko kikwete anatangaza nia ya kugombea 2015. Je hawa wapo pamoja au kila mtu kivyake?