DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Kanisa Katoliki jimbo kuu la Mwanza limezungumzia taarifa ya kupatikana Padre Nikata iliyotolewa na jeshi la polisi mkoa wa Ruvuma, Msikilize Mhashamu Renatus Nkwande.
Mhashamu Renatus Nkwande amesema kama Padri huyo alitaka kuacha Upadri yeye askofu alipaswa kujua na wala si mwingine amebainisha kuwa askofu wa Jimbo la Songea pia hajua kama padri huyo alitaka kuacha upadri.
"Eti watu wanasema alishaaomba hakusikilizwa mapadri ivi ukitaka kuacha upadri unasikilizwa? si unaondoka zako tunaowangapi ambao wameacha huko wameondoka, walisikilizwa? badala ya kupata maneno yakutia moyo tusikate tamaa tunapewa maneno ya maudhi" Mhashamu Renatus Nkwande.
Pia Soma:
Mhashamu Renatus Nkwande amesema kama Padri huyo alitaka kuacha Upadri yeye askofu alipaswa kujua na wala si mwingine amebainisha kuwa askofu wa Jimbo la Songea pia hajua kama padri huyo alitaka kuacha upadri.
"Eti watu wanasema alishaaomba hakusikilizwa mapadri ivi ukitaka kuacha upadri unasikilizwa? si unaondoka zako tunaowangapi ambao wameacha huko wameondoka, walisikilizwa? badala ya kupata maneno yakutia moyo tusikate tamaa tunapewa maneno ya maudhi" Mhashamu Renatus Nkwande.
Pia Soma:
- Kanisa Katoliki latoa taarifa ya "kutoonekana" kwa Padre Camillus Nikata wa Jimbo Kuu la Songea
- SACP Marco Chilya: Padre Nikata hakuwa ametekwa bali alikuwa ‘amejiteka' kutokana na msongo wa mawazo