IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Zamani heshima ya mwanamke/mwanaume ilikuwa kuolewa au kuolewa hata kama una elimu kiasi gani.
Lakini dunia ya leo mambo yamebadilika sana. Hili linawagusa sana wadada nawaambia mjue.
Kwanza, wanaume wengi sio waoaji ni wachezeaji. Na wanaume wanaofanikiwa kuoa wanatumia muda mwingi kuwatesa wanawake. Ndio maana kesi za kuua, kupiga na kunyanyasa wanawake ziko nyingi sana.
Wewe kama mwanamke usisikie vibaya eti kisa hauna ndoa. Na wewe ambaye umeolewa kauli za ndoa kuvumilia zimepitwa na wakati kabisa.
Manyanyaso hayavumiliki hata kidogo.
Tuwalee watoto na tuwaambie ukweli huyu mwanaume mmekutana ukubwani kwanini akutese?
Kwa watoto wa kike na kiume ndoa sio mateso, unaweza kuishi bila ndoa.
Lakini dunia ya leo mambo yamebadilika sana. Hili linawagusa sana wadada nawaambia mjue.
Kwanza, wanaume wengi sio waoaji ni wachezeaji. Na wanaume wanaofanikiwa kuoa wanatumia muda mwingi kuwatesa wanawake. Ndio maana kesi za kuua, kupiga na kunyanyasa wanawake ziko nyingi sana.
Wewe kama mwanamke usisikie vibaya eti kisa hauna ndoa. Na wewe ambaye umeolewa kauli za ndoa kuvumilia zimepitwa na wakati kabisa.
Manyanyaso hayavumiliki hata kidogo.
Tuwalee watoto na tuwaambie ukweli huyu mwanaume mmekutana ukubwani kwanini akutese?
Kwa watoto wa kike na kiume ndoa sio mateso, unaweza kuishi bila ndoa.