Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,984
Najua asilimia kubwa ya ccm ni magamba, lkn haya nimeyaita magamba sugu au magumu kwani naamini kama walishindwa kuvua gamba la Lowasa na Chenge, hili la Luhanjo, Ngeleja, Malima, Jairo, Kafumu, Utoh, nk siamini kama watayaweza. Kazi hiyo nyingine kwa Nape.