Msikilizi kamanda Godbless Lema kwa Wana Arusha na Watanzania kwa ujumla..
WAKUU HESHIMA MBELE!
Hii nimeipenda. Single hii inapatikana wapi mazee?
Mambo kama haya Komba na TOT yake hawayawezi kabisa. Na hivi ameanza kusinzia bungeni ndio basi tena.
Duuh jamaa mhamasishaji kweli, nikawaida ya mtu ambaye anafanya kazi ambayo anaipenda kwa moyo wake wote na hafanyi kwa kuiga but he is realy in his personality! So touching; may God grant the desires of your heart Lema.
Inapatikana Arusha kwenye ofisi za lema..ni kuchangia mfuko aliouanzisha lema